Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,516
Mi mtu mzima, nimeshakuelewa.Hahahhaa
Yaani huwezi amini, alinirudisha mpaka chumbani na akanifunika shuka kisha yeye akaondoka salama bila kudhurika kimwili...ila jamani baridi sana nasikia
Sasa baridi kwani Dom hakuna K Vant?