Inategemea na level zako pamoja na umri..
Ukiwa ni muajiriwa utakua kwenye group la kazini.
Group la kanisani.
Group la form 4
Group la form 6
Group la chuo.
Group la michongo ya kazi.
Group la kabila lako.
Group la chama cha mapinduzi.
Group la ujasiriamali.
Group la wana (weekend outings)
Hesabu mangapi hayo?
Sent using
Jamii Forums mobile app