CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Hii Dunia kwa sasa kama akili haifanyi kazi kwa speed kari basi ni shida tupu.
Kwa sasa Wenye akili wamekuwa wakitengeneza wajinga wengi sana akilini mwao ili wale wajinga sasa wa implement Idea yao.
MFANO
Kuna jamaa fulani Kebya alikuja na Idea ya kufuga Sungura, ila akagundua kwamba Wakenya hawali Sungura na hawana utamaduni wa kula sungura.
Jamaa ikabidi sasa atengebeza wajinga wengi sana kichwani mwake.
AKAPATA WAZO
Akaanza kuhamasisha ufugaji wa Sungura na kwamba yeye atawanunua wote na atakuuzia mbegu. Hapo sasa akapata wajinga.
Akaanza kuuza Sungura wazazi na kwa bei kubwa sana na unafuga then unamuuzia yeye wale Sungura wote kwa bei ya kilo.
Yeye anakuuzia sungura kwa TSH 80,000 ila utakuja kumuuzia kwa Tsh 30,000.
Ukisha muuzia atawachukua tena hao hao Sungura atawauza kaka sungura wazazi kwa bei kubwa.
Jamaa alipiga sana pesa mpaka kuja kushutikuwa alikuwa mbali mno na kwa sasa hafanyi tena hiyo biashara anafanya nyingine.
WEWE SI UNA IDEA NA UNAONA NI NGUMU KUTEKELEZEAKA? UMIZA KICHWA TENGENEZA WAJINGA WA KUITEKELELZA.
NAMAINGO yule mama naye alikuja na Idea yake safi sana sasa anaitekeleza vipi akatengeneza wajinga kichwani mwake.
Mama kapiga pesa kapita hivi.
BABU WA LOLIONDO pamoja na kwamba hajasoma sana ila alikaa akawaza na akaona asije kufa masikini na alicho kifanya kwenye wazo lake ni kutengeneza wajinga wengi sana.
BABU hatakufa masikini kamwe.
UNA IDEA NZURI ILA UNAONA UGUMU KUITEKELEZA?
Tengeneza wajinga wengi sana kichwani mwako, hao wajinga ndo watakao tekeleza Idea yako na mpaka wajinga wanashituka utakuwa mbali mno na kamwe hutakufa masikini.
Kwa sasa Wenye akili wamekuwa wakitengeneza wajinga wengi sana akilini mwao ili wale wajinga sasa wa implement Idea yao.
MFANO
Kuna jamaa fulani Kebya alikuja na Idea ya kufuga Sungura, ila akagundua kwamba Wakenya hawali Sungura na hawana utamaduni wa kula sungura.
Jamaa ikabidi sasa atengebeza wajinga wengi sana kichwani mwake.
AKAPATA WAZO
Akaanza kuhamasisha ufugaji wa Sungura na kwamba yeye atawanunua wote na atakuuzia mbegu. Hapo sasa akapata wajinga.
Akaanza kuuza Sungura wazazi na kwa bei kubwa sana na unafuga then unamuuzia yeye wale Sungura wote kwa bei ya kilo.
Yeye anakuuzia sungura kwa TSH 80,000 ila utakuja kumuuzia kwa Tsh 30,000.
Ukisha muuzia atawachukua tena hao hao Sungura atawauza kaka sungura wazazi kwa bei kubwa.
Jamaa alipiga sana pesa mpaka kuja kushutikuwa alikuwa mbali mno na kwa sasa hafanyi tena hiyo biashara anafanya nyingine.
WEWE SI UNA IDEA NA UNAONA NI NGUMU KUTEKELEZEAKA? UMIZA KICHWA TENGENEZA WAJINGA WA KUITEKELELZA.
NAMAINGO yule mama naye alikuja na Idea yake safi sana sasa anaitekeleza vipi akatengeneza wajinga kichwani mwake.
Mama kapiga pesa kapita hivi.
BABU WA LOLIONDO pamoja na kwamba hajasoma sana ila alikaa akawaza na akaona asije kufa masikini na alicho kifanya kwenye wazo lake ni kutengeneza wajinga wengi sana.
BABU hatakufa masikini kamwe.
UNA IDEA NZURI ILA UNAONA UGUMU KUITEKELEZA?
Tengeneza wajinga wengi sana kichwani mwako, hao wajinga ndo watakao tekeleza Idea yako na mpaka wajinga wanashituka utakuwa mbali mno na kamwe hutakufa masikini.