Una ghetto Kali sawa, vipi mazingira ya wazazi wako?

Una ghetto Kali sawa, vipi mazingira ya wazazi wako?

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Ni ujinga wa hali ya juu kama unaishi na Kulala sehemu nzuri hali ya kuwa wazazi wako waliokupambania mpaka kufika hapo wanalala kwenye dhiki.

Wanalala chini
Kwenye Godoro kama ulimi wa mbwa
Hakuna fan Wala asset nzuri za maana.

Kuwaweka wazazi wako kwenye mazingira mazuri haiitaji uwe na maisha mazuri au KAZI nzuri ni taratibu sana.

Kumbuka fahari ya mwanaume ni kupambana wazazi then mke na watoto

Nitukaneni TU hakuna shida
 
WAzazi wengine ni shida, wewe unawaza kuwapambania kumbe wao wana mikataba ya kichawi, vita zinainuka juu yako na wao wanakaa kimya.
Umekielewa ulichokiandika lakini mkuu?
Yaani mazazi wako akupambanie hadi ufike hapo halafu uje useme ni wachawi wakupige vita? Yaani kwa akili ya kawaida tu kama wangekuwa na nia hiyo si wangemalizana na wewe mapema tu wala wasingesumbuka kufika hadi ulipo.

Kama ni wachawi wanachawia wengine wewe inakuhusu nini mkuu?

Watunze wazazi usitafute visingizio
 
Mimi wazazi wangu nikipaumbeule sana. Niliwahi kuwa na rafiki yangu asiyekuwa na wazazi baada ya wazazi wangu kumpokea vizuri kama mtoto hadi kesho huw anawatumia hela ananimbia sana mimi kama ningekuwa na wazazi wangu asee ningewatunza sana P. Maneno hayo hunifanya nami niongezee juhudi zaidi
 
Mimi wazazi wangu nikipaumbeule sana. Niliwahi kuwa na rafiki yangu asiyekuwa na wazazi baada ya wazazi wangu kumpokea vizuri kama mtoto hadi kesho huw anawatumia hela ananimbia sana mimi kama ningekuwa na wazazi wangu asee ningewatunza sana P. Maneno hayo hunifanya nami niongezee juhudi zaidi
Heshima bro
Wazazi kupambana kote, wakakufanikisha kupata geto kali tu!
Mpumbavu huna akili matako yako hujielewi sikujibu tena kwaheli
 
Umekielewa ulichokiandika lakini mkuu?
Yaani mazazi wako akupambanie hadi ufike hapo halafu uje useme ni wachawi wakupige vita? Yaani kwa akili ya kawaida tu kama wangekuwa na nia hiyo si wangemalizana na wewe mapema tu wala wasingesumbuka kufika hadi ulipo.

Kama ni wachawi wanachawia wengine wewe inakuhusu nini mkuu?

Watunze wazazi usitafute visingizio
Uchawi haukuuwi ila unatesa, siyo kwamba wachawi hawataki uishi ila wanataka uteseke usiweze kujikomboa.
 
Fikia hatue eleweni watu wanaofika miaka 60 haijalishi watumishi serikalini au sekta binafsi(wakulima na ainayake)

hili kundi sio lakutunzwa na watoto wao ni jukumu laserikali Yao

Kwasasa Lea wanao unaowazaa
 
Fikia hatue eleweni watu wanaofika miaka 60 haijalishi watumishi serikalini au sekta binafsi(wakulima na ainayake)

hili kundi sio lakutunzwa na watoto wao ni jukumu laserikali Yao

Kwasasa Lea wanao unaowazaa
Mpumbavu huna akili
 
Ni ujinga wa hali ya juu kama unaishi na Kulala sehemu nzuri hali ya kuwa wazazi wako waliokupambania mpaka kufika hapo wanalala kwenye dhiki.

Wanalala chini
Kwenye Godoro kama ulimi wa mbwa
Hakuna fan Wala asset nzuri za maana.

Kuwaweka wazazi wako kwenye mazingira mazuri haiitaji uwe na maisha mazuri au KAZI nzuri ni taratibu sana.

Kumbuka fahari ya mwanaume ni kupambana wazazi then mke na watoto

Nitukaneni TU hakuna shida
Upo wapi
 
Back
Top Bottom