Una enjoy kwa mwanaume yupi hapa

Una enjoy kwa mwanaume yupi hapa

your my only one babe, my sun shine my moon light my heart store!
you gt me!?

hahaaaaa usimtishe Tized wangu bhanaa

mhhhhhhhhhhhh cc Tyta

aisee...
575183_458426097528423_785125549_n.png
 
Lkn kusoma Gazeti uache
(Asee babaangu mm nasoma kaseti ukimalisa funika niachie pesa yangu mesani uende)
Mm ni kutoka BK (British Kingdom) ni mwendo wa Katerero ni sa ngapi utapima size & length ?

Mm Nshomile bwana toka BK mbona utanilipa weye badala ya mimi kwa huduma yangu? maana hatutumii magodoro ya Dodoma

sisomi gazeti nakuwa serious kufanya utafiti
 
Mmmh hapa 2najazana ujinga watu watabadilisha mawazo waanze kutafuta majembe yanayotifua shamba vizur
 
your my only one babe, my sun shine my moon light my heart store!
you gt me!?

hahaaaaa usimtishe Tized wangu bhanaa

Mkuu Tyta tafuta mti ulikomaa, huo hadi uje ukuzidi ni lini? Huyu Eshy m.s amezidi. mara Tized, mara Excel, mara Tyta...... nimetafakari sana nataka niachie ngazi.. wivu sina ila roho inauma

TUMWACHIE Excel AENDELEE KUWAMILIKI WOTE Eshy m.s NA miss neddy....SUBIRI NITAFAKARI HAYA MAAMUZI MAGUMU
998326_398152836961703_76231317_n.jpg
 
Watakatifu huwa wanajisema Mkuu? Mimi Mr Rocky ameniweka benchi bana kwenye hili.
Tukutane Trafod baadae.
mtakatifu mimi najisema,nipo tofauti na watakatifu wengine sasa ndo ushangae na pia jana tumewaonyesha arsenal na wengineo jinsigani ya kujilinda ili bayenr asifunge na kupata matokeo
 
Hongereni sana. Jana nakiri kuwashangilia aisee. You tried harder. Kupewa kadi kwa Bastian na Martinez ndio pona yenu mechi ijayo... Hopefully mtasonga mbele na kuuchukua ubingwa kimasihara sihara.
mtakatifu mimi najisema,nipo tofauti na watakatifu wengine sasa ndo ushangae na pia jana tumewaonyesha arsenal na wengineo jinsigani ya kujilinda ili bayenr asifunge na kupata matokeo
 
hahahahaaa!! niwe mndengereko! haiwezekani kabisa!!

yani nakopi na kupesti kila kitu... mjini usipoongea, utaongelewa!
badoo nasisitia hoja yangu ile ile inabidi uwe ama mzaramo au ------ au mndengereko ina short uwe mtu wa pwani coz una mneno sana....
 
Hongereni sana. Jana nakiri kuwashangilia aisee. You tried harder. Kupewa kadi kwa Bastian na Martinez ndio pona yenu mechi ijayo... Hopefully mtasonga mbele na kuuchukua ubingwa kimasihara sihara.
bado its 50 50 we are still underdogs ila nashukuru mungu tumewaonyesha wapinzani kwamba we are still united na kuwaprove wrong wapinzani kwamba sijui tungefungwa 5 ama 7
 
ATM ndio mpango mzima hivyo vingine ni vikorombwezo tu. mwenye ela siyo mwenzio yani yake hata iweje hakosi Mtu. ujikute ndio kapuku ukijikung'uta unatoka vumbi my dia itatakiwa uhakikishe mambo on bed yako pouwa maana huna pengine pa kujishikizia
 
Back
Top Bottom