UN upgrades Palestinean status by a huge vote.

Hukumalizia 138 NDIYO, 9 HAPANA na 41 ABSTAINING (ZILISUSIA KURA)
1. Just for CURIOSITY mwenye INFO Je, ni nchi GANI zilizopiga kura ya HAPANA?
2. Je URT ilipiga KURA yake wapi katika makundi hayo matatu?

Hizi ndio Nchi zilizo piga kura ya hapana, canada, czech, marshall island, micronesia, nauru, palau, panama, usa and israel.
 
Sikubalini na wewe mkuu,hawa magaidi tunaowaongelea wanatofautiana na jinsi yesu alivyouawa kwa ajili ya kuwakomboa binadamu.Hawa magaidi wanalazimisha kuuwa na watu wengine (wasiokuwa na hatia) kwa faida zao na vikundi vyao!kwa mfano gaidi aliyejitoa mhanga kwenye ubalozi wa marekani mwaka 1998 alikufa yeye mwenye na watu wengine tena wasiokuwa na hatia hata kidogo!!

wewe KUJITOA MHANGA NI KUJITOA MHANGA TU.
Haina category madamu umejitoa mhanga ajili ya watu wengine ,unakubali wewe udead ili kuponya wengine.
YESU alijitoa mhanga,samsoni alijitoa mhanga,kina steve Biko.
Na hata wajapani kwenye zile KAMIKAZE MISSION.
Kwa kweli ni jambo zuri sana.
 
wewe KUJITOA MHANGA NI KUJITOA MHANGA TU.
Haina category madamu umejitoa mhanga ajili ya watu wengine ,unakubali wewe udead ili kuponya wengine.
YESU alijitoa mhanga,samsoni alijitoa mhanga,kina steve Biko.
Na hata wajapani kwenye zile KAMIKAZE MISSION.
Kwa kweli ni jambo zuri sana.

Nakubali kutokukubaliana!!nakutakia weekend njema mkuu!
 
Read the comments of BIBI after the votes

"Israel's hand is extended in peace, but there will not be a Palestinian state without the recognition of Israel as a Jewish state," ...... "A Palestinian state will never be established without a declaration on ending the conflict… and the establishment of security arrangements to protect the State of Israel and its citizens."

'...There is no power in the world that can disconnect the Jewish people from the land of Israel,' ....Netanyahu says
 
Ni hatua moja kubwa kwa Palestina lakini wakati huohuo ni tatizo kubwa kuelekea amani ya eneo la Mashariki ya Kati. Ni wazi ushindi huu unaweza kuzaa ukiburi na assaults kwa Waisrael hali ambayo itaufanya ukanda wa Gaza kuwa mashakani zaidi. Ni vema mazungumzo yakazidi kuwepo katika eneo hilo vinginevyo kuna matatizo zaidi Masariki ya Kati kuliko ushindi wenyewe wa Wapalestina.
 
Usikasirike banaaaa

Hapana Mkuu, sijakasirika ndio maana nimekupa HONGERA kwa Kupata Cheti cha Kuzaliwa. Hongera tena. Sasa umekuwa na utaanza kujitegemea na si kupata zile fedha za bure za kuendesha maisha kutoka USA na hao Israel.
 
Hapana Mkuu, sijakasirika ndio maana nimekupa HONGERA kwa Kupata Cheti cha Kuzaliwa. Hongera tena. Sasa umekuwa na utaanza kujitegemea na si kupata zile fedha za bure za kuendesha maisha kutoka USA na hao Israel.

Hahhaaaa Mkwawa..hizo pesa hazifai ni haram wanahitaji kujitegemea kwa kutumia akili.Wasiwe kama sisi TZ kutwa tunatembeza bakuli mpaka tumejisahau kujiona walemavu na kuwa masikini wakati nchi inautajiri.Ila hata kama hawataki kusaidia Palestina wasiwawekee vikwazo waiache nchi ianze maisha mapya kwasababu kama kusaidiwa zipo nchi nyingi zilizo tajiri zitakazopenda kuisaidia ili iwe na mwanzo mzuri.God bless them
 
Ni hatua moja kubwa kwa Palestina lakini wakati huohuo ni tatizo kubwa kuelekea amani ya eneo la Mashariki ya Kati. Ni wazi ushindi huu unaweza kuzaa ukiburi na assaults kwa Waisrael hali ambayo itaufanya ukanda wa Gaza kuwa mashakani zaidi. Ni vema mazungumzo yakazidi kuwepo katika eneo hilo vinginevyo kuna matatizo zaidi Masariki ya Kati kuliko ushindi wenyewe wa Wapalestina.

we ulitakaje? Ebu tueleze
 
Hahhaaaa Mkwawa..hizo pesa hazifai ni haram wanahitaji kujitegemea kwa kutumia akili.Wasiwe kama sisi TZ kutwa tunatembeza bakuli mpaka tumejisahau kujiona walemavu na kuwa masikini wakati nchi inautajiri.Ila hata kama hawataki kusaidia Palestina wasiwawekee vikwazo waiache nchi ianze maisha mapya kwasababu kama kusaidiwa zipo nchi nyingi zilizo tajiri zitakazopenda kuisaidia ili iwe na mwanzo mzuri.God bless them

Mfano. huu hapa BBC News - US lawmakers release $88.6m in Palestinian aid hili ndilo Palestine walisahau kuwa halito kuwepo tena. Kumbuka, walisha zoea kupewa bure. Nawatakia maisha mema ya kujitegemea. Hao matajiri unao wataja, sikuwai kuwaona au sikia wakitoa msaada kwa Palestina. Haya, tusubiri na tuone nini watafanya tofauti na walicho kifanyaga.
 
Wakati muingereza anaondoka palestina hawa wapalestina walikataa uwapo wa mataifa mawili lao na la israel, matokeo yake kukawa na taifa moja tu la israel. Sasa leo jitihada imegeuka ya kutaka kuwa na solution ile ile ya mataifa mawili yanayoishi mkabala kiujirani. Kama wangekubali hili toka miaka ile roho nyingi zisingepotea kutokana na mgogoro uliofuatia kwa muda wote huu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mfano. huu hapa BBC News - US lawmakers release $88.6m in Palestinian aid hili ndilo Palestine walisahau kuwa halito kuwepo tena. Kumbuka, walisha zoea kupewa bure. Nawatakia maisha mema ya kujitegemea. Hao matajiri unao wataja, sikuwai kuwaona au sikia wakitoa msaada kwa Palestina. Haya, tusubiri na tuone nini watafanya tofauti na walicho kifanyaga.

Mkwawa hayo yasikutishe sana ndugu hakuna kitu kama uhuru.Wazungu wanapenda kujionyesha kama wao ni watu wazuri na wanasaidia na kutangaza ktk media zao.Nchi za waarabu zingine zinazotoa hawajitangazi ktk media ambazo unazifuatilia wewe kwahivo jicho lako litakuwa linalenga sehemu moja na huwezi kataa ila upande wa pili utakataa kwakuwa huja shuhudia.Huo msaada hauna raha yoyote kwao ikiwa wamezungukwa na check point hata mtu akitaka kwenda chooni au dukani kununua chumvi.Zipo check point zaidi ya 600 ndani ya west bank.Huko Gaza ndio usiseme hakuna jela iliyo kubwa duniani kote na yenye kufungia mpaka watoto wanaozaliwa leo hii wapo kifungoni kama Gaza.Wapalestina wanaoishi Gaza hawana ruhusa kutoka wala kuingia na hawana ruhusa kununua au kuuza chochote nje ya Gaza.Kwahiyo wanaishi kwa kutegemea msaada kutoka wa wasamaria wema ambao hujitolea kufa na kupona kutoka nchi mbalimbali wakiwemo mayahudi.Sasa wameona kama ni msaada wapo watakao wasaidia kuanza maisha mapya.

Halafu Mkwawa ndugu yangu hao wanaosema wanasaidia,kiufupi wanahali mbaya sana kimaisha.Wananchi wengi marekani hawana kazi wala mahali pa kuishi na kutegemea kupewa chakula na serikali.Kwahiyo hapa mimi naona ni danganya toto tu hiyo ikiwa ndani ya nchi yao inaanguka kiuchumi halafu wao tena wanasaidia nchi nyengine hii haingii akilini.Mimi naishi nje zaidi ya miaka 15 sasa najionea mwenyewe kwa macho yangu jinsi hali ilivo na inasikitisha.Na kingine Mkwawa kuhusu hii misaada yao,wakitoa hata huku kwetu yaani tunatukanwa nahawa wananchi ile mbaya.Kama nilivokueleza wakiwa wanatoa hiyo misaada hutangaza ktk media zao halafu uone hizo coment za wananchi wanavotutukana na kutunyanyasa.Kiufupi tu tuwaache hao Palestine wajiongoze wenyewe na wapewe nafasi na wao washirikiane na mataifa watakaowataka.Yeyote atakaetaka kuwasaidia wacha wasaidie wasiotaka na waache.
 
we ulitakaje? Ebu tueleze

Mkuu kashengo sina tatizo na Palestina kupewa recognition na UN, concern yangu ni kwa kiwango gani recognition hii italeta amani Mashariki ya Kati.Binafsi nafurahia status ya Wapelestina lakini wasiwasi wangu uko kwenye Kundi la Hamas kutumia nafasi hii kama kigezo cha kuendelea mashambulizi kwa Israel na eneo zima la ukanda wa Gaza hatimaye kuleta machafuko zaidi. Otherwise mazungumzo na reconciliation ni njia muafaka sana Mashariki ya Kati.I am Out.
 
Last edited by a moderator:
Halafu Mkwawa ndugu yangu hao wanaosema wanasaidia,kiufupi wanahali mbaya sana kimaisha.Wananchi wengi marekani hawana kazi wala mahali pa kuishi na kutegemea kupewa chakula na serikali.Kwahiyo hapa mimi naona ni danganya toto tu hiyo ikiwa ndani ya nchi yao inaanguka kiuchumi halafu wao tena wanasaidia nchi nyengine hii haingii akilini.Mimi naishi nje zaidi ya miaka 15 sasa najionea mwenyewe kwa macho yangu jinsi hali ilivo na inasikitisha.Na kingine Mkwawa kuhusu hii misaada yao,wakitoa hata huku kwetu yaani tunatukanwa nahawa wananchi ile mbaya.Kama nilivokueleza wakiwa wanatoa hiyo misaada hutangaza ktk media zao halafu uone hizo coment za wananchi wanavotutukana na kutunyanyasa.Kiufupi tu tuwaache hao Palestine wajiongoze wenyewe na wapewe nafasi na wao washirikiane na mataifa watakaowataka.Yeyote atakaetaka kuwasaidia wacha wasaidie wasiotaka na waache.
Let me tell you one thing:

Palestine produces few crops with the help of Israel. Now, how will they run their offices and government? These people need help, we all know it is USA and Israel helped these Palestinians for years. There is no other record. Is Iran and allies ready to support Palestine financially?
 
Let me tell you one thing:

Palestine produces few crops with the help of Israel. Now, how will they run their offices and government? These people need help, we all know it is USA and Israel helped these Palestinians for years. There is no other record. Is Iran and allies ready to support Palestine financially?

What help fom Israel and USA??? Israel ikisaidiwa na kusapotiwa na USA kudhulumu ardhi ndio kusaidiwa??? Wapalestina kunyan'ganywa mashamba yao ndio msaada???Wapalestina kufukuzwa ktk nyumba zao ndio msaada???Mkwawa..nchi za kiisilamu wapo tayari kuisaidia Palestine kwa hali na mali lakini kinachowazuia ni Israel kukataa misaada isiingie.Ndio maana nikakwambia west bank kuna check point zaidi ya 600 yaani hata ukitaka kwenda mtaa wapili kumuona bibi yako au ndio wazee wako inabidi upitie check point ya israel tena hapo wanaweza kukupa ruhsa na wanaweza kukukatalia vilevile.Hatua ya mwanzo inatakiwa Israel itoe uhuru na waondoe hizo check point na waachie mipaka yao wapalestina na majirani zao ziwe na uhuru wa kuingiza bidhaa na kutoa bidhaa zao.Kwani hata wao ni mahodari sana wa kazi na walikuwa na viwanda vyao wenyewe lakini Israel wamevifungia na kulazimisha wanunue bidhaa za kutoka Israel.Kwahiyo waarabu,Iran na nchi nyingine za kiisilamu zinasubiri tu mlango ufunguliwe ili waanze kujua wapi kuna hitaji msaada.
 
"No matter how many hands are raised [at the UN], There is no power in the world that can disconnect the Jewish people from the land of Israel,' Netanyahu says
 
Without taking into consideration, the most basic problems in the Middle East before creation of Palestinian state is like telling someone your brutal attitudes have our supports.Hamas, and other armed groups with this seems licence to molest and attack Israel.
 
Back
Top Bottom