UN upgrades Palestinean status by a huge vote.

UN upgrades Palestinean status by a huge vote.

Magaidi wa Tanzania ni wapi hao?

Nimemjibu tu huyo ndugu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri, Maana ana maana kwamba Palestina ni Waislam na kwa mtazamo wake All Muslims are terrorists, ndio nika muuliza yeye Mbona anaishi nao nchi moja kwa nini awakataze wenzeka kuwatambua?
 
Israel haiwezi kukaa meza moja na magaidi!!
dogo wacha ujinga, Israel na US siku zote wanasema hawaitambui HAMAS lakini last week wamefanya peace na nani ili wasirushiwe rocket.
 
Nimemjibu tu huyo ndugu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri, Maana ana maana kwamba Palestina ni Waislam na kwa mtazamo wake All Muslims are terrorists, ndio nika muuliza yeye Mbona anaishi nao nchi moja kwa nini awakataze wenzeka kuwatambua?

Hapo kwenye nyekundu, upende usipende jibu ni ndiyo. It is just a matter of time and location.
 
Kiongozi sijui sana ndio maana nauliza kama ni nchi au mkoa??!

Unauliza Palestina sehemu gani West Bank au Gaza Strip? Wapelestina wale wanaoishi Palestina wapo zaidi ya milioni 7 tofauti na wale ambao ni wengi wapo nchi zingine.
 
Hukumalizia 138 NDIYO, 9 HAPANA na 41 ABSTAINING (ZILISUSIA KURA)
1. Just for CURIOSITY mwenye INFO Je, ni nchi GANI zilizopiga kura ya HAPANA?
2. Je URT ilipiga KURA yake wapi katika makundi hayo matatu?
Israel, United States of America, Canada, Czech Republic, Panama, Marshall Islands, Micronesia, Nauru and Palau :A S thumbs_down:

 
......
1. Just for CURIOSITY mwenye INFO Je, ni nchi GANI zilizopiga kura ya HAPANA?
.............

Kwa uhakika Israel ilipiga kura ya hapana kwa mujibu wa maelezo ya mwakilishi/balozi wake UN juu ya kupinga Palestina kupewa hadhi hiyo kisa eti Palestina haitaki "2 countries 2 people" yaani iwepo Israel na Palestina kwa pamoja.
 
Terrorist are good people...they die for their people like jesus or samson did long time ago.
Sikubalini na wewe mkuu,hawa magaidi tunaowaongelea wanatofautiana na jinsi yesu alivyouawa kwa ajili ya kuwakomboa binadamu.Hawa magaidi wanalazimisha kuuwa na watu wengine (wasiokuwa na hatia) kwa faida zao na vikundi vyao!kwa mfano gaidi aliyejitoa mhanga kwenye ubalozi wa marekani mwaka 1998 alikufa yeye mwenye na watu wengine tena wasiokuwa na hatia hata kidogo!!
 
Back
Top Bottom