Kwanini joanahWanaume mna raha sana
haha tutazunguka sehemu tofauti tofauti lkn main chick hasauliki!!! Sema michepuko ya siku hizi ni mihodar ukiwa mgumu hata tunguri zitakupigaKuchepuka ila hamsahau wake zenu
Sehemu inayoongoza tembelewa na wanaume wa dar fuata viburudishoCorner bar iko maeneo gani?
haha tutazunguka sehemu tofauti tofauti lkn main chick hasauliki!!! Sema michepuko ya siku hizi ni mihodar ukiwa mgumu hata tunguri zitakupiga
Kuna Dada mmoja Instagram huwa analia na 'sanchoka' katelekezwa ye mwanae sasa hapo cjui ni tunguri zilihusika ama chura wa Dada.Hahahh wanafanya tunguri hadi unasahau main chick
@espy yuko ngazi ipi hapo wewe mdaka chozi wa auntieUpo sahihi kabisa Mkuu
Wanatusaidia sana kupunguza stress,kwa kutambua umuhimu wao imenibidi hata mchepuko naye nimtafutie mchepuko wake!
Sitaki kabisa kusumbuliwa
Kuna Dada mmoja Instagram huwa analia na 'sanchoka' katelekezwa ye mwanae sasa hapo cjui ni tunguri zilihusika ama chura wa Dada.
Hahaha hahaha hahahaSio wanaume tu
Hata sisi wanawake inatusaidia sana
Wito wangu kwa wanawake wenzangu ni fanya ufanyavyo uwe na mpango kando ili siku MR akikuliza upate pa kudekea
Hahaha@espy yuko ngazi ipi hapo wewe mdaka chozi wa auntie
yes: huyo anae mwitaga sukari guru wake ni Mme wa mtu ameoa na ana mtoto mmoja. Kibaya zaidi mume hasikii wala ahambiliki aise, kuna kipindi apo nyuma walikuwa na majibizano.Sanchi kamchukulia bidada mwanaume wake?
Acha kunidanganya... Yaani kwa haraka haraka wako wanne hivi!!Hahaha
Huu ni uchonganishi wa waziwazi kabisa
Ila yeye yupo peke yake kabisa,yeye ndio mchepuko na njia kuu
Hahaha hahaha hahaha
Umeamua kumwaga mboga kabisaaa
yes: huyo anae mwitaga sukari guru wake ni Mme wa mtu ameoa na ana mtoto mmoja. Kibaya zaidi mume hasikii wala ahambiliki aise, kuna kipindi apo nyuma walikuwa na majibizano.
Hawajui kila mtu ana mapungufu yake sio mwanaume wala mwanamke!Waelewe na sie tunahitaji
Hawajui kila mtu ana mapungufu yake sio mwanaume wala mwanamke!
Tukisema tuanze kuchepuka wote mwisho wake ni magonjwa