Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Mkuu, yaani hilo siyo la kuuliza, huduma ita/inasitishwa mara moja, utaitwa Mwaume suruali !! Kama Mdada kakupenda kweli kwa maana kwamba huwa unafikisha, atakuwa na wewe kwa ajili hiyo, lakini utachapiwa na Mhongaji fulani.
 
Mkuu, yaani hilo siyo la kuuliza, huduma ita/inasitishwa mara moja, utaitwa Mwaume suruali !!
Teh teh.. Unaitwa hivyo kwa sababu kuna wanao honga, mngefanya kampeni kwa umoja wenu kupinga hongo kwenye mapenzi mkuu.
 
Usipohonga anakimbia mazima.

Unakosa vyote
yaan wahongaji hawapo mwee mi sijawahi hongwa aisee hata birthday gift hakuna aaaah wanaume hawa khaaa yaan anajikuta ana zawadi toka kwangu kibao mwaka mzima ye hana alichotoa hana hata aibu looo wanaume muwe na aibu mtu hongee kha
 
yaan wahongaji hawapo mwee mi sijawahi hongwa aisee hata birthday gift hakuna aaaah wanaume hawa khaaa yaan anajikuta ana zawadi toka kwangu kibao mwaka mzima ye hana alichotoa hana hata aibu looo wanaume muwe na aibu mtu hongee kha
Wahongaji mbona wapo kibao tu.??

Badilisha channel. tafuta channel zinazohonga.

Utakufa na utamu wako , shauri lako.
 
Teh teh.. Unaitwa hivyo kwa sababu kuna wanao honga, mngefanya kampeni kwa umoja wenu kupinga hongo kwenye mapenzi mkuu.
Ni vigumu kuwa na umoja kama huo, hata ukiwepo utakuwa wa mashaka, hakuna mtu atamwamini mwingine maana hiyo ni rushwa na ufisadi ambavyo kama kawaida vinafanyika kwa siri vikihusisha Mtoaji na Mpokeaji.
 
nakufa nao aisee wanaume hawana shukurani
ha ha ha
wanaume wamejaa shukrani sana aisee, tatizo wanawake huwa hawajulikani wanataka nini katika mapenzi.

Mwanamume ukitaka kuishi maisha magumu kwenye mahusiano, we anza kujiuliza tu hivi huyu mpenzi wangu huwa anataka nini nimfanyie kwenye mahusiano??

Hapo utapasuka kichwa.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ww unamuona mmbaya lakin wanawake wenzio wanamlilia wanataman wampate aisee inatubidi tusije na wake zetu "dalisalama"
Sio kama ana sura mbaya. He is so beautiful to me. Mwanaume kama huyo hata afanyaje hanisisimui.
 
Na wasipohongwa ao unakuwa heshima yako co kubwa xana Kubali yote na mda wwte unaweza kubadilikiwa yan *
 
Wamekusikia
 
Wewe unahonga wenzako wanapiga mzigo bure....halafu kwenu wanashida kibao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…