Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
1,012
Reaction score
1,427
Inanifanya niweze kuelewa vitu vingi sana. Pia nilisoma Odinary diploma nilishia NTA level 4 ila Mpaka leo sijapata kujua inanisaidiaje. Na nyie naomba mtoe ushuhuda kua diploma au A level inakupa faida gani kubwa?
Screenshot_20251216-153830.jpg
 
Inanifanya niweze kuelewa vitu vingi sana. Pia nilisoma Odinary diploma nilishia NTA level 4 ila Mpaka leo sijapata kujua inanisaidiaje. Na nyie naomba mtoe ushuhuda kua diploma au A level inakupa faida gani kubwa? View attachment 3516201
Yani kwamba imekusaidiaje, kuandika vitabu au nini, maana hata mimi sijaelewa post 😁
 
Yani kwamba imekusaidiaje, kuandika vitabu au nini, maana hata mimi sijaelewa post
Hivi ni vitabu ambavyo nimeanza kuvisoma naona A level inanisaidia kupatapata Point kaza. naamini isingekuwa rahisi
 
Labda uzungumzie mtu Aliyesoma diploma peke ake ila ambaye ameunganisha degree usimchukulie poa

Picha linaanzia chuo tu mtu wa a level asilimia 90 ya vitu vinakuwa vipya ila wa diploma ni kama anafanya muendelezo wa aliyoyasoma
 
Back
Top Bottom