Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Ni kweli au alitudanganya au tumedanganywa.Naamini kwamba ni kosa kwa mtu kudanganya kuhusu umri wake
mfano ;aliyezaliwa mwaka 1984 Mchanganuo wake uko hivi
1992 alianza darasa la kwanza
1998 alimaliza la saba
1999 akaanza kidato cha kwanza
2002 alimaliza kidato cha nne
2003 akaanza kidato cha tano na
2005 alimaliza kidato cha sita.
TATIZO lipo kwa Marehemu KANUMBA wanasema alizaliwa 1984 baada ya hapo alimaliza elimu ya msingi shinyanga na baadae O-level na Advance Mjini Dsm.JE KWA NINI TUSIPEWE MCHANGANUO HALISI KAMA HUO.Nawakilisha
mfano ;aliyezaliwa mwaka 1984 Mchanganuo wake uko hivi
1992 alianza darasa la kwanza
1998 alimaliza la saba
1999 akaanza kidato cha kwanza
2002 alimaliza kidato cha nne
2003 akaanza kidato cha tano na
2005 alimaliza kidato cha sita.
TATIZO lipo kwa Marehemu KANUMBA wanasema alizaliwa 1984 baada ya hapo alimaliza elimu ya msingi shinyanga na baadae O-level na Advance Mjini Dsm.JE KWA NINI TUSIPEWE MCHANGANUO HALISI KAMA HUO.Nawakilisha