Umri wa mtu mzima uwe miaka 14 ili mabinti waolewe siyo 18

Habar wanangu wa dhahabu kabisa

Nimeona tujadili kidogo kuhusu hii ishu uwenda ikawa ina changia kwa kiwango kikubwa kuwa na rundo la wanawake wengi mjini ambao wanasherekea birthdays kama ndoa na yote hii ni kwa kile kinacho daiwa kuwa waowaji hawapo

Nyakati zinabadilika kweli kweli siku hizi unakuta kitoto cha darasa la sita kimeisha vunja ungo miaka 12 tayari kimeanza kuhaha kutafuta wanaume
Mambo ya utandawazi na vitamthiria vya kikorea ndio vime wa halalishia kabisa kuwa ni sawa kuwa na mpenzi hata ukiwa shule

Picha linaanza unakuta mabinti wengi kufika miaka 24 ukimtizama tayari amesuguliwa mpaka ameota sugu kunako
Sasa hii inatufanya sisi wanaume kuona wivu ya kuwa siwezi kuwa na mwanamke ambaye amesuguliwa na wanaume zaidi ya 7 eti namimi nimuweke ndani haiingii akilini kiukweli

Na pia mtoto akimaliza form 4 hapo iwe ihari yake kuolewa sababu mfumo wa elimu yetu upo hovyo kwamba ukisema mtoto asome mpaka amalize chuo kisha apate kazi ndiyo aolewe basi miaka 30 itamkuta yupo kwa wazazi na akipata wa kumuoa basi jua lazima awe mke wa pili
TUACHE MABINTI KUANZIA 14 KAMA WANATAKA KUOLEWA WAOLEWE TU
Huu upepo wa KISULI SULI msiutegemee sana unavuma mara moja kwa karne
Ahsanteni
Kigezo cha mabinti kuwa mtu mzima mpaka afikishe miaka 18 sijui walikitoa wapi na utafiti gani ulitumika,sijui ni ile kukopi mambo ya wazungu.Hebu fikiria binti amemaliza la saba na miaka 12,mpaka aje afikishe miaka 18 ni miaka 6 na wala hakujiunga na kidato cha 1.Sasa hiyo miaka yote atakuwa anafanya nini nyumbani ,je ni kweli hao mabinti wanakuwepo nyumbani hawaolewi kinyemela,je hawazalishwi hovyo nyumbani? kuna maswali mengi sana kuhusu hii mada.
 
Mwanamke anaweza kuolewa akiwa na miaka 14 kwa amri ya mahakama ni suala ya kufuata taratibu tu ili uoe.
Miaka 15 ni kwa amri ya wazazi
Hivyo sioni kama kuna tatizo kama unataka akiwa bado mbichi fata taratibu vizuri.

Nb.mwanaume hawezi kuoa kwa namna yoyote ile kama yupo chini ya 18
 
Habar wanangu wa dhahabu kabisa

Nimeona tujadili kidogo kuhusu hii ishu uwenda ikawa ina changia kwa kiwango kikubwa kuwa na rundo la wanawake wengi mjini ambao wanasherekea birthdays kama ndoa na yote hii ni kwa kile kinacho daiwa kuwa waowaji hawapo

Nyakati zinabadilika kweli kweli siku hizi unakuta kitoto cha darasa la sita kimeisha vunja ungo miaka 12 tayari kimeanza kuhaha kutafuta wanaume
Mambo ya utandawazi na vitamthiria vya kikorea ndio vime wa halalishia kabisa kuwa ni sawa kuwa na mpenzi hata ukiwa shule

Picha linaanza unakuta mabinti wengi kufika miaka 24 ukimtizama tayari amesuguliwa mpaka ameota sugu kunako
Sasa hii inatufanya sisi wanaume kuona wivu ya kuwa siwezi kuwa na mwanamke ambaye amesuguliwa na wanaume zaidi ya 7 eti namimi nimuweke ndani haiingii akilini kiukweli

Na pia mtoto akimaliza form 4 hapo iwe ihari yake kuolewa sababu mfumo wa elimu yetu upo hovyo kwamba ukisema mtoto asome mpaka amalize chuo kisha apate kazi ndiyo aolewe basi miaka 30 itamkuta yupo kwa wazazi na akipata wa kumuoa basi jua lazima awe mke wa pili
TUACHE MABINTI KUANZIA 14 KAMA WANATAKA KUOLEWA WAOLEWE TU
Huu upepo wa KISULI SULI msiutegemee sana unavuma mara moja kwa karne
Ahsanteni
WANAKUJA KUKUPA MWONGOZO MKUU.
 
Kuvunja ungo na kudinywa sio sababu pekee ya kumfanya mwanamke kuolewa...

Majukumu ya mwanamke ambaye ni mke yanahitaji ukomavu wa akili na mwili...

Kitabibu mwanamke wa umri uliotaja maumbile yake bado hayapo tayari kubeba ujauzito pamoja na kuwa anakuwa kavunja ungo...

Pia hata ulezi wa familia kiasi cha kuwa mama, umri huo ungali mdogo...
 
Kigezo cha mabinti kuwa mtu mzima mpaka afikishe miaka 18 sijui walikitoa wapi na utafiti gani ulitumika,sijui ni ile kukopi mambo ya wazungu.Hebu fikiria binti amemaliza la saba na miaka 12,mpaka aje afikishe miaka 18 ni miaka 6 na wala hakujiunga na kidato cha 1.Sasa hiyo miaka yote atakuwa anafanya nini nyumbani ,je ni kweli hao mabinti wanakuwepo nyumbani hawaolewi kinyemela,je hawazalishwi hovyo nyumbani? kuna maswali mengi sana kuhusu hii mada.
umefafanua vyema mkuu
 
Back
Top Bottom