my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
- Thread starter
- #21
asante kwa ushaurNi kweli,usitumie kabisa. Kula vizuri mboga mboga na matunda pamoja na maji mengi....na mazoezi kidogo utakuwa na ngozi nzuuri totoo.
asante kwa ushaurNi kweli,usitumie kabisa. Kula vizuri mboga mboga na matunda pamoja na maji mengi....na mazoezi kidogo utakuwa na ngozi nzuuri totoo.
sa miaka 50 makeup ya nnSubiri mpaka miaka 50
km foundation ndo wanasema znazeesha ngoz. cjui km kwelNadhani haina umri,ila sio nzuri kwa watoto
Umuhimu wa makeup ni pale ngozi inapokua haifanani complexion /rangi au km una makovu ya pimples hivo vtu km foundation znakusaidia kukupa mwonekano unaofanana,wanja unakupa nyusi zilizojaa kdogo km una chache,wasio na shida hzo nadhani lipstick tu yawatosha
Kiujumla don't overdo it
Sasahv unapaka ya nn?sa miaka 50 makeup ya nn
hahahaaaa! ni kweli na ni vituko sana!Makeup bwana zinawafanya kina dada walie kizungu yaani analia kwa uchungu ila ana-concetrate na kufuta machozi yasifike kwenye mashavu, Anakula chakula cha mafuta ila anafuta lips taratibu kama vile anakidonda ili asitoe zile marangi....Pakiwa na jua hatembei kabisa heri achelewe kuliko kutmbea juani maana jasho likitoka na kumwagika usoni atakuwa zebra...Mvua sasa ikinyesha ndo balaa..Hahahahahahah.
kwny ngoz uson napaka foundation powder n concealerSasahv unapaka ya nn?
Hujanielewa...nimekuuliza kama unasema miaka 50 vipodozi vya nini, kwani sasahv unapaka kwanini? Sio unapaka nini,kwanza hata hizo ulizozitaja sijui fiundation powder mimi sizijui.kwny ngoz uson napaka foundation powder n concealer
Kumbe huwa unajificha kwenye hili JukwaaMakeup bwana zinawafanya kina dada walie kizungu yaani analia kwa uchungu ila ana-concetrate na kufuta machozi yasifike kwenye mashavu, Anakula chakula cha mafuta ila anafuta lips taratibu kama vile anakidonda ili asitoe zile marangi....Pakiwa na jua hatembei kabisa heri achelewe kuliko kutmbea juani maana jasho likitoka na kumwagika usoni atakuwa zebra...Mvua sasa ikinyesha ndo balaa..Hahahahahahah.
BADILI TABIA aibuka!Subiri mpaka miaka 50