Umri unachosha

Kwahiyo kwakuwa ni hatua mpya tunaweza vyovyote tunavyojiskia katika umri wowote ?
Utakuwa umejipotosha mwenyewe kwani wapo waliokutangulia kuyaishi hayo maisha kabla yako. Kwa kutumia uzoefu wao (Experience) walionao inakupasa (japo sio lazima) usikilize Ushauri wao na kuutendea kazi. (Don't learn through the hard way - kama vile mtoto mdogo unamkataza asishike moto lakini yy anang'ang'ania huwa ni busara unamwacha na akiungua ni mara moja tuu hatokaa tena arudie kushika moto -amepata uzoefu(Experiance)
Vivyo hivyo kwa mtu mzima akishajitambua; huwa anapita shuleni (Darasa) Formal au Informal ili aweze kujua yale yaliyokwisha kufichuliwa/kujulikana kwa wengine naye ajifunzie mumo humo sio eti ni mpaka limpate la kumpata ndo ajifunze. Ukifanya tuu kiholela mbona watakuita chizi/mwehu?
 
Yaani unacheza ligi moja na mjukuu au kitukuu chako 😁. Sasa kama ni hivyo kwamba unaweza kufanya chochote katika umri wowote mtoto nae anaweza kufanya mambo tunayoyaita "ya kikubwa" mfano kijana wa miaka 13 aamue kuoa ni sawa?
Hakuna time frame ya utoto mkuu
Puchu hata mzee wa miaka Mia anapiga
 
Tuko zaidi ya billion 7 who cares about you?siku hizi wanasema kbs Aibu utaona wewe so ishi,kufa basi the rest utajuawewe na Mungu sasa hatuhusiki na maisha wala kifo chako
Apparently no one cares mpaka pale utapokuwa kituko. Kwa mfano binti aolewe leo, aachike baada ya siku nne na chanzo ni mmewe kumkuta anafanya punyeto. Hapa nani ataona aibu ?
 
Apparently no one cares mpaka pale utapokuwa kituko. Kwa mfano binti aolewe leo, aachike baada ya sike nne na chanzo ni mmewe kumkuta anafanya punyeto. Hapa nani ataona aibu ?

Kama huna mke au mpenziwa uhakika huwezi kuikwepa punyote we huoni ma video ya mademu instagram yanavyotia nyege yaani ukikaa ndani mwenyewe kwa siku unaweza kupiga punyeto mara nne all in all ni salama kbs ukishakuwa na mke unapunguza kwa 70% mimi ni shuhuda wa hilo
 

Ukiwa na mke usiku mmelala ikisimama tu cha kwanza hakuna hata kuandaana ni kuipachika tu so unamwaga mara nyingi unavyotaka punyeto itaanza kukutoka ila kama uko single mkono unakuhusu Tena siku hizi watu sabuni washaachaga ni mwendo wa mafuta
 
Reactions: ---
Mkuu!, mara nne kwa siku kichwa (cha juu) hakiumi?
 
kama makamu naibu mwenyekiti muenezi wa CHAPUTA kanda maalumu ya Dar es salaam na taifa kwa ujumla mheshimiwa ndugu Mbaga Jr alivyotangulia kusema kuhusu nyeto ni kuwa haina umri wa kuacha, cha kufanya ni kupiga nyeto mpaka siku unaingia kaburini.

Asante.
 
Kwanini haswaa ! Punyeto nadhani mnaipa umuhimu mkubwa isiokuwa nao
 
Huishi kwa ajili ya watu, unaishi kwa ajili yako
Yet, nikifanya vile nataka watu hao hao watafanya maisha yangu yawe magumu zaidi. Au ni mimi tu nyie wenzangu mna mbinu za kuweza kuishi bila kutegemea au kuchangamana na watu wengine kabisa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…