Umri umemtupa mkono Sadifa?

Umri umemtupa mkono Sadifa?

Kwani hata yule jamaa wa magogoni&nbsp;haumwi kichaa?<br>kabla sijasahau, yule aliyesema "Pemba, Zimbabwe na Tanganyika zimeunda Tanzania mwaka 11964" naye hakuugua magonjwa ya akili?
 
duh sasa ka ugonjwa kake ka kupoteza network kakimrudia akiwa jukwaani si anaweza akavua nguo
 
Kati ya wote tuliochangia hapa, hakuna anayefahamu cv ya huyo ndugu. Nikiwa na maana ya umri wake halisi, shule alizopitia, kazi alizowahi kufanya na maisha yake ya kisiasa kwa ujumla. Hayo ndio mambo ya msingi ambayo tungeyajadili. Otherwise ni bora thread ifungwe.
 
Halafu nasikia yule makamu wake ni chakula cha beno, beno ndiye alimpigia chepuo hadi akachaguliwa
Yaani huyo mdada eti amepita kutokana na kutoa rushwa ya ngono hata shigela ne pia anammega.
dada noma kweli yaani kawachanganya wot 2.
safi sana mdada ure fighter, umeweza tumia vizuri kiungo ulichopewa bure na Mungu

Yule makamu ni noma mtoto wa mjini hatari na ni chakula ya kila mtu,anatembea na hirizi adi kwenye meno chezea watoto wa Tanga
 
Kati ya wote tuliochangia hapa, hakuna anayefahamu cv ya huyo ndugu. Nikiwa na maana ya umri wake halisi, shule alizopitia, kazi alizowahi kufanya na maisha yake ya kisiasa kwa ujumla. Hayo ndio mambo ya msingi ambayo tungeyajadili. Otherwise ni bora thread ifungwe.

Jambo usilolijua ni usiku wa kiza tupo tunayemfahamu fika swala la elimu na matatizo ya akili ......iwaje mtu kwa manufaa ya jeshi aachishwe kazi kutokana na kichaa chake leo awe lulu ya CCM vijana? hata waliomchagua wanamatatizo ya akili
 
duh sasa ka ugonjwa kake ka kupoteza network kakimrudia akiwa jukwaani si anaweza akavua nguo
Teh teh ,anawezza akasahau kwenye mkutano wa ccm akasalimia kwa peopleeeeeeeeeeees power.
 
Halafu nasikia yule makamu wake ni chakula cha beno, beno ndiye alimpigia chepuo hadi akachaguliwa
Yaani huyo mdada eti amepita kutokana na kutoa rushwa ya ngono hata shigela ne pia anammega.
dada noma kweli yaani kawachanganya wot 2.
safi sana mdada ure fighter, umeweza tumia vizuri kiungo ulichopewa bure na Mungu

Mwigul* ni ugonjwa mmbaya sana kuliko unavyofikiri. CCm eeeeeeeeeh CCM nambari one!
 
Ujana CCM ni mpaka miaka 45. Ukiangalia waliogombea uchaguzi wengine wanazid 35 ya ujana wa serikali. wenye 40 wapo kibao. Kwa maslahi ya chama chao wamwache huyu aendelee kutawala wakijafanya kutengua wataumia zaidi kama chama. Tayari kanda ya ziwa wanalalaamika hawana mwakilishi. Na wazenj na ubishi wao wataona mshaona gear ya umri ndoo ya kuwafukuzia vijana kwenye CCM. Kama alienda jeshini baada ya form six ni wazi yupo above 35.
 
Jamaa kweli anaonekana ana kama umri zaidi vile.

Labda ndiyo yale ya Masauni yaani kwamba "tunakupa Uenyekiti wa UVCCM na utafuata yale tu tunayokuagiza, vinginevyo tunaku-masauni (tunasanua suala lako la umri kuwa zaidi)".

Basi EL ataendelea ku-control mali za UVCCM kama alivyo-control wapiga kura ndani ya vikao vya CCM.

Liyumba naye atakuwa amefurahi sana.
 
Teh teh ,anawezza akasahau kwenye mkutano wa ccm akasalimia kwa peopleeeeeeeeeeees power.

Weeeh, si atajuta. kama ana kaugonjwa kichwani basi atashangaa wenzake walivyo wengi. Kama watakuwepo Mwigulu na Lusinde ajue atateremshiwa vipande mpaka basi.
 
Haya mambo ya umri kwenye hivi vyama vyetu ni kizungumkuti. Kila asiye na madaraka makubwa bado ni "kijana" wewe unadhani kweli Heche hajafikisha miaka 35 inayomtaka aachie uongozi wa BAVICHA!?
Bora mimi niseme ukweli, miaka yangu ni "onescore and halfscore point four"

 
hawa wametumwa na kina makonda wa membe,sita na mengi na salum hapy wa rz1 hivi jamani wangeshinda wao wangelalamika asiyekubali kushndwa si mshindani najua apa tatzo ni urais 2015 kuptia ccm wanaona lowasa kawapga bao la ksigizo kila jumuiya ata sophia smba waltaka kumtengenezea vurugu kuptia shyrose bhanji kama walivyomtegeshea bashe bt akawashtukia tumeshawachoka na migogoro isiyoisha.....NAPITA
 
Ukisikia siasa za maji taka sasa ndo hizo.Ni watu wanakaa chini na kuamua kuzusha kitu ili mradi wamchafue mtu
 
Wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi

Mie sidhani hilo la kuumwa akili lina tatizo maana hao waliompigia kura na kumchagua hiyo mgonjwa wa akili ndiyo wana matatizo makubwa ya kiakili. Wote ni wagonjwa tu, mgonjwa kuwaongoza wagonjwa wenzake.
 
Kwa nini wewe ukaweka ilihali unajua huna taarifa kamili? acha kuwakashfu watu bila sababu. ingefaa ungeuliza mwenye kujua umri na historia ya mtajwa mpaka anaacha jeshi
mleta mada amesema kuwa mwenye taarifa sahihi atujuze kwani kuna kosa gani hapo mkuu.
 
Waallah ni kweli huyo jamaa ni mgonjwa wa akili sio masihara ndio maana jwtz likampiga kalamu na hiyo degree ya mwanzo hakumaliza sasa master kaipata wapi au master za ccm tu! maana ni juzi tu tulimuona naibu waziri wa elimu anafanya manyago hadharani hata haya ccm wajaona!

kuhusu sadifa, watu kama hao kutoka zanzibar kwa ccm ndio wanaowataka kwali wapate kuwaburuza tu!
 
mleta mada amesema kuwa mwenye taarifa sahihi atujuze kwani kuna kosa gani hapo mkuu.

Je mwenye taarifa kamili akileta taarifa tofauti hiyo aliyoweka huyu jamaa huoni kama atakuwa amesha mkashifu mtajwa hapo juu bila kosa? angeomba taarifa za huyo mtu bila kuanduka uvumi wowote
 
Back
Top Bottom