- Thread starter
- #41
Kwa nini wewe ukaweka ilihali unajua huna taarifa kamili? acha kuwakashfu watu bila sababu. ingefaa ungeuliza mwenye kujua umri na historia ya mtajwa mpaka anaacha jeshi
Hitimisho langu linaeleweka labda uwe mvivu wa kuelewa ndiyo ungetaka nifanye tafiti kabla sijaweka ndugu yangu Solano