Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

Siyo udomo zege mzee labda pesa ndo Sina na ndo mana wanawake awatak kunizalia
Jiangalie vzr wewe. Pesa na kuzalisha havina mahusiano ndio maana kuna watoto wa mitaani kibao sababu ya umasikini wa wazazi wao. Aliyekwambia mbpaka uwe mjukuu wa baresa ndio uzalishe ni nani?
 
Mkuu bado miez 4 ugonge 30😎
Kwahyo fanya kutafuta mke kiwe kipaumbele chako kwasasa!!

Kuhusu swala la kipato sio hoja, maana wanawake type zote wapo. Chukua anayeendana na hali yako ya kiuchumi kwa sasa
Usiigize maisha, ishi katika uharisia✍️

Ukiwa na kipato cha 10k per day yupo atakayevumilia hapo
Ukiwa wa 20k per day yupo atakayevumilia hapo
Ukiwa wa 30k + yupo wa hapo...

So, maisha ya kweli huanza pale visababu visipopewa nafasi
Good luck
 
Back
Top Bottom