Heshima kwenu Madaktari, naomba kujua ukomo wa umri wa mwanamke kuzaa.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33. Nimekuwa na uhusiano na mabinti wa umri chini yangu ila wamekuwa wakiniacha kwa sababu ambayo ipo nje ya uwezo wangu kuirekebisha.
Kutokana na mimi kuwa na hamu ya kuitwa baba,nimebahatika kupata mwanamke mwenye umri wa miaka 43 ambaye amesema yupo tayari nizae nae.
Naomba kujua kama jambo hili linawezekana haswa kwa mtoto atakayezaliwa kama atakuwa na afya njema.
Ni matumaini yangu kujibiwa vyema na waheshimiwa Madaktari.
Ahsanteni.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33. Nimekuwa na uhusiano na mabinti wa umri chini yangu ila wamekuwa wakiniacha kwa sababu ambayo ipo nje ya uwezo wangu kuirekebisha.
Kutokana na mimi kuwa na hamu ya kuitwa baba,nimebahatika kupata mwanamke mwenye umri wa miaka 43 ambaye amesema yupo tayari nizae nae.
Naomba kujua kama jambo hili linawezekana haswa kwa mtoto atakayezaliwa kama atakuwa na afya njema.
Ni matumaini yangu kujibiwa vyema na waheshimiwa Madaktari.
Ahsanteni.