- Thread starter
- #61
Si uchumi tu,mambo ya uzazi siku hizi yana complications nyingi sana inabidi kujiuliza kabla hujaamua.Kweli umejitahidi. Siku hizi watu wengi wanaishia watoto wawili na wenyewe wanatutoa watu jasho.
Si uchumi tu,mambo ya uzazi siku hizi yana complications nyingi sana inabidi kujiuliza kabla hujaamua.Kweli umejitahidi. Siku hizi watu wengi wanaishia watoto wawili na wenyewe wanatutoa watu jasho.