February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
Greetings earthlings,
Nimewasoma mnavyosoma kuhusu ndoa za utotoni ikabidi nijiulize utoto unaisha lini?
Kuna wanaosema ni kabla ya kubarehe/kuvunja ungo kuna wanaosema ni mpaka ufikishe 18yrs nk. nk.
Kuhusu mtoto wa kike kuolewa;Tukiachana na maswala ya kusoma shule na Sheria za nchi husika (haya sio constant duniani kote na hubadilika kulingana na muda)
Tukafikiria kama jamii iliyostaarabika,iliyoendelea katika karne hii je! Ni
Umri gani mtoto wa kike yuko tayari kuolewa?
maana kidini kuna dini zingine zinaruhusu hata mtoto ambaye hajabarehe aolewe kwenye vitabu vyao
Nahitaji jibu ethical
Nimewasoma mnavyosoma kuhusu ndoa za utotoni ikabidi nijiulize utoto unaisha lini?
Kuna wanaosema ni kabla ya kubarehe/kuvunja ungo kuna wanaosema ni mpaka ufikishe 18yrs nk. nk.
Kuhusu mtoto wa kike kuolewa;Tukiachana na maswala ya kusoma shule na Sheria za nchi husika (haya sio constant duniani kote na hubadilika kulingana na muda)
Tukafikiria kama jamii iliyostaarabika,iliyoendelea katika karne hii je! Ni
Umri gani mtoto wa kike yuko tayari kuolewa?
maana kidini kuna dini zingine zinaruhusu hata mtoto ambaye hajabarehe aolewe kwenye vitabu vyao
Nahitaji jibu ethical