Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,248
Ni taifa huru lisilotaka raia wake wawe huru, ni taifa huru lisilotoa haki kwa raia wake, ni taifa huru linalo lazimisha raia wake kuongozwa na viongozi ambao hawakuwachagua, ni taifa huru ambalo hata kura ya mgombea wa upinzani aliyejipigia kura kura yake inabadilikia ndani ya sanduku la kura na kuonyesha kuwa alimpigia mgombea wa CCM.