Katashekadm
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 718
- 759
Usiwasemee WatanzaniaKuweka namba za simu mmeona isiwe nongwa sasa ni kwa barua pepe.
Njaa hizi? Kazi kweli kweli.
Kipi katika tuhuma za EU si kweli?
Kwa taarifa yako tuhuma na hatua za EU zinaungwa mkono vilivyo na watanzania wengi tu hata kama wewe na wenzio hammo!
Jisemee wewe na wapinga maendeleo wenzako