Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,350
- 11,213
Wapi katika dunia ambapo umoja wa mataifa au mataifa ya Ulaya na Marekani wameingia na pakawa na utulivu.
Angalia Iraq,Pakistan na Libya.Angalia Yemen na Somalia.Angalia Sudan na Syria.Angalia na Myamar.
Hawa ni maadui wa amani na maadui wa waislamu.Kwa sababu penye waislamu amani huvunjwa kwa kuwapiga waislamu.
Sasa wameingia Kongo hawaoni haya kuwaunganisha Uganda na Rwanda eti ndio wanaofadhili waasi Kongo.Kama si uchochezi huo ni nini.
Ustadi wao wa kuvunja amani huwa wanatumia mianya midogo ya mifarakano kuwagonganisha ndugu waliokuwa wakiishi kwa amani.Wakienda Burma ni mabuda na waislamu.Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.
Angalia Iraq,Pakistan na Libya.Angalia Yemen na Somalia.Angalia Sudan na Syria.Angalia na Myamar.
Hawa ni maadui wa amani na maadui wa waislamu.Kwa sababu penye waislamu amani huvunjwa kwa kuwapiga waislamu.
Sasa wameingia Kongo hawaoni haya kuwaunganisha Uganda na Rwanda eti ndio wanaofadhili waasi Kongo.Kama si uchochezi huo ni nini.
Ustadi wao wa kuvunja amani huwa wanatumia mianya midogo ya mifarakano kuwagonganisha ndugu waliokuwa wakiishi kwa amani.Wakienda Burma ni mabuda na waislamu.Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.