Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Any updates?
Maandamano marufuku,maana yanazuwia viwanda kujengwa.
Maandamano sio jukumu LA kikundi Fulani ni njia tu ya kufikisha ujumbe Fulani kwa wahusika kwa mujibu Wa katiba ya nchi hiiHiyo taasisi ya UTG imesajiliwa? Kazi zao kwenye katiba yao kama imesajiliwa je moja ya kazi zao ni kuitisha maandamano?
Sura kama kabichi, nani akupe cheo jinga kama wewe?
ripoti wanakwenda kukmkabidhi nani hawa jamaa. Kwa nini wasiwakabidhi polisi ama wasimpatie moja kwa moja mh. rais JPM
ha ha ha ha ha, kweli ujenzi wa taifa la waoga....Jaribu kuandamana ukione cha mtema kuni.
Hivi Kunguru Bado wapo?
Jukumu LA kuandaa maandamano ni LA kila raia wa Tanzania ili mradi makusudi ya maandamano hayakinzani na sheria halali (si matamko) za nchi yetu na ni haki ya kikatiba!Hiyo taasisi ya UTG imesajiliwa? Kazi zao kwenye katiba yao kama imesajiliwa je moja ya kazi zao ni kuitisha maandamano?
Hawa wataamsha vilivyolala. Sijui wamekosa kazi za kufanya? Wanakwenda kumuhoji nani?
ha ha kitambulisho kikuu kingine cha kuwajua hata kama kuna uliemsahau jina ni kuangalia meno yao na lafudhi yao pia utajua huyu naye wa Kilimanjaro beerMassawe atakuwepo, Chuwa atakuwepo, Shayo atakuwepo, Mushi atakuwepo , Kimaro atakuwepo, Swai atakuwepo, Lema atakuwepo, Urassa atakuwepo, Nkya atakuwepo, Ndosi atakuwepo, Meena atakuwepo, Temu atakuwepo, Mlaki atakuwepo, Lyimo atakuwepo, Moshiro atakuwepo, Kimambo atakuwepo, Tesha atakuwepo, Macha atakuwepo, Njau atakuwepo, Mrema atakuwepo, Chami atakuwepo, Temba atakuwepo bila kuwasahau Tarimo na Kimbolo nao watakuwepo
Tena kabichi bichi teh teh tehSura kama kabichi, nani akupe cheo jinga kama wewe?
Watata hawa!Massawe atakuwepo, Chuwa atakuwepo, Shayo atakuwepo, Mushi atakuwepo , Kimaro atakuwepo, Swai atakuwepo, Lema atakuwepo, Urassa atakuwepo, Nkya atakuwepo, Ndosi atakuwepo, Meena atakuwepo, Temu atakuwepo, Mlaki atakuwepo, Lyimo atakuwepo, Moshiro atakuwepo, Kimambo atakuwepo, Tesha atakuwepo, Macha atakuwepo, Njau atakuwepo, Mrema atakuwepo, Chami atakuwepo, Temba atakuwepo bila kuwasahau Tarimo na Kimbolo nao watakuwepo
UTG taasisi ya wachagaWatata hawa!