mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
muislam wa kweli anasema wazi, hatumiki na mtu. Sheikh Bahama yuko sahihi ni mtu wa kupongezwa amediriki kusimamia kweli. anaangalia maslahi ya nchi ya sasa na vizazi vijavyo c kama Simba anaefikiria tumbo lake kwa wakati uliopo