Ummy Mwalimu: Taarifa za kuzuiliwa kwangu kwenda Nje ni uzushi na zipuuzwe nipo “OK”

Ummy Mwalimu: Taarifa za kuzuiliwa kwangu kwenda Nje ni uzushi na zipuuzwe nipo “OK”

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Baada ya kueenea kwa taarifa juu ya kuzuiwa kwa Aliyewahi kuwa waziri wa Afya Ummy Mwalimu kutoka nje ya Nchi amevunja ukimya nakusema kuwa "Nawashukuru wote walionifikia kutaka kujua ukweli kuhusu hii. Ni uzushi. Ipuuzwe. Nipo OK. Alhamdulillah".
1765520936632.jpeg
 
Back
Top Bottom