Mtarajiwa hizi sio busara nazokufundisha kila kukichawadelete wote, anza upya wasikuchoshe
Watukane woote halafu uwablock kila sehemu hadi mpesa..
Taabu zao hawawezi kukusumbua

️
️
️
️
️
️😀😀😀😀😀wadelete wote, anza upya wasikuchoshe
Kwa post hii Uzi ufungwe kazi imeisha.Mmoja wao yupo right na unajua hilo,mwombe msamaha kwakumficha ukweli maisha yaendelee huyo lulu mwambie asiejua maana haambiwi maana ajifunze


Mmoja wao yupo right na unajua hilo,mwombe msamaha kwakumficha ukweli maisha yaendelee huyo lulu mwambie asiejua maana haambiwi maana ajifunze
Daaaah!!Jaribu kuwapatanisha alafu mkanye kivuruge tabia yake sio nzuri au unamuogopa urafiki wenu anaefaidika ni wewe,yaani yeye ni slay anakuburuza.