Umewahi kutembela balozi za Tanzania nje?

Kwani kazi hazitafanyika mpaka tujue kiingereza?? kinachotakiwa ni viongozi wetu kusisitizia utaifa tu na kuweza kulinda maslahi ya raia wake kwenye ajira. Kuna nchi kibao hasa Nordic countries zinatumia lugha zao katika shughuli zote ikiwemo ajira na hulinda maslahi ya raia wao dhidi ya wageni. Hata kama ni kampuni ya kigeni imewekeza lugha inayoongelewa ni ya nchi husika. Na kama immigrants wakitaka kuajiriwa nchini kwao hata kwa position za maana husisitiza wajifunze lugha zao na si kiingereza. Hivyo ndugu hapa ni utaifa tu na sera za nchi yetu kuhusiana na namna inavyoweza kulinda masilahi ya wazawa dhidi ya immigrants.

Underestimate the importance of English at your own peril!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.

Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.

Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?

Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?

Mada yako imekosa mashiko! Mimi nadhani wewe ndo unamapungufu tena makubwa! Unaonyesha we si mzalendo wa kweli, umelidhalilisha taifa,umeukana utaifa na umeudhalilisha ubalozi wetu! We ni mswahili eti unakwenda ktk ubalozi wako unaongea kiingera???? Alaaniwe yule autengae uzao wake!!

NB ungeleta sred yenye kulalamika juu ya utendaji mbovu wa wafanyakazi hao si kutojua vema KIKOLONI
 
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.

Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.

Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?

Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?

Mada yako imekosa mashiko! Mimi nadhani wewe ndo unamapungufu tena makubwa! Unaonyesha we si mzalendo wa kweli, umelidhalilisha taifa,umeukana utaifa na umeudhalilisha ubalozi wetu! We ni mswahili eti unakwenda ktk ubalozi wako unaongea kiingera???? Alaaniwe yule autengae uzao wake!!

NB ungeleta sred yenye kulalamika juu ya utendaji mbovu wa wafanyakazi hao si kutojua vema KIKOLONI
 
Mada yako imekosa mashiko! Mimi nadhani wewe ndo unamapungufu tena makubwa! Unaonyesha we si mzalendo wa kweli, umelidhalilisha taifa,umeukana utaifa na umeudhalilisha ubalozi wetu! We ni mswahili eti unakwenda ktk ubalozi wako unaongea kiingera???? Alaaniwe yule autengae uzao wake!!

NB ungeleta sred yenye kulalamika juu ya utendaji mbovu wa wafanyakazi hao si kutojua vema KIKOLONI

Simlaumu huyo bwana. Hata pale DIA airport ukishuka pale na ukijifanya hujui kiswahili unapiga kimombo tu jamaa wa customs hawakusumbui tena wanakuogopa, lakini ukianza kiswahili tu basi shida tupu lazima uwakatie kitu kidogo
 
Kujua Kiingereza siyo kigezo cha kufanyakazi ubalozini. Wapo wanaojua kifaransa vizuri, wapo wanaojua kichina vizuri, wapo wanaojua kijapan vizuri.... Umeenda South Africa... ebu jaribu kuongea nao Kizuru na siyo kiingereza uone, Kama umeenda ufarasa ebu ongea nao kifarasa uone.....
Post nyingine ni za kipuuzi sana. Hivi uzuri wa Kiingereza unaupima vipi? Marekani yenyewe wanapishana matamshi, Uingereza ndo usiseme kabisa cha north na south ni tofauti,,,,.... sasa wewe hicho kizuri umekitoa wapi mswahili wa kariakoo weweeee!!!!

hacha mkwara wewe ata british pamoja na kuwa tofauti katika matamshi lakini hata wao pia wana standard language.bbc.na vigezo vya lugha kuwa standard vipo.kwa hiyo hao jamaa kama wanachapia ung'eng'e asiseme?
 
Kuna dada mmoja kama mchaga vile yuko pale reception ukipanda tu ngazi anaboa mno sijawahi ona,yaani akishakuona wewe ni mtanzania sura yake inabadilika,halafu kuna mzee mmoja alituudhi sana alipokuwa anaongea na sisi walitokea wazungu halafu akaachana na sisi akaenda kuongea na wazungu,HALAFU TULIKUTA WATU PALE WASUBIRI PASPORT ZAO KWA MANUNG"UNIKO,.mijitu ya ovyoo sana

Kumbe umimi ndio unaokusumbua? Yaani ulitaka uonekane kama mfalme pale? By the way asilimia kubwa ya kusudi ya balozi ni kutumikia uhusiano na wenyeji. hili ndilo linalofanya mara nyingi balozi ziwekwe kwenye zile nchi zitakazotowa mahusiano ya faida na Tanzania.
Halafu wewe jimama unafikiri kujuwa kingereza kwako kutawafanya wengine wasiojuwa Kingereza wawe raia wa daraja la pili?
 
kwa utaratibu kazi za kibalozi zina utaratibu wa kipekee ktk kuajiri si kama ajira nyingine kwani its a noble job, na itarajiwa mtu anaepata kazi hizo atakua ana sifa stahili kwani linahusisha nchi zaidi ya moja hivyo unaweza kupeleka mtu mjinga akaharibu mahusiano ya nchi kiuchumi,kisiasa.... Kama hivyo nchi yetu itaendelea kudharauliwa daima, sisi na elimu zetu za foreign policy and diplomacy hatuma ajira, wanapeana tu ajira bila ujuzi. Tutakapoamua kuingia msituni ndio tutaheshimiana....

Si kusudii kusema vibaya lakini nyinyi mlio na elimu hizo mnazojidai nazo pengine ngio mnakuwa wajinga kufikiri kuwa eti kwa kwenda kurasini kulikufanyeni muwe watu wenye sifa ya kuajiriwa kwenye ofisi za kibalozi. Ingekuwa busara kama mngeuliza wafanyakazi wa ofisi za kibalozi wanaajiriwa vipi.
Kwa mfano jee wewe na sifa zako ulizonazo utakuwa tayari kwenda kufanyakazi ya kibalozi ukiwa kama mkaazi wa huo mji ilioko hiyo ofisi? Malipo yako yatakuwa kama kima cha chini cha wakaazi wa mji huo bila ya kupewa kinga yoyote na bila ya kuwa mwajiriwa wa kudumu? Pengine ka elimu yenu inakufanyeni msiwe wadfadisi wa mambo!
 
.................. then we should shut up our big mouths when the Kenyans come to town to take the high profile well-paying jobs because of their mastery of the English language............whether we like or not, in this era of global economy the use of English language is unavoidable. Even the Chinese have realized the importance of the English language.
How can one work at one of our high comissions and struggles with English? How silly is that? How can the embassy staff be able to communicate with other parties like business people, politicians etc if they struggle with the English language? No wonder our embassies are full of maduduz!!
That should be only if Tanzanians are mecenaries like you! It has happened that you understand English but not other international languages so you can boast yourself with it but mind you that it is just one of the languages possesed by those we depent upon for what reasons that has made you to singled out English!
 
Well! is it dollar, euro, yen or petrolium? Does it means in Britain everyone is employed?

Don't know the answer to that, but there's no way you can even attend a job interview for a high profile job interview in Tanzania if you are handcapped to the English language
 
Hii hoja tusitake kuizima kwa urahisi. Kuna siku moja kama miaka minne iliyopita, mwakilishi wa balozi wa Uingereza alikwenda kwenye kongamano. Akapewa nafasi ya kuongea. Well lugha ilikuwa mbaya saana hili tunaweza kusamehe. lakini content ya anachoongea ni aibu kabisa. Wenzake walifanya vizuri saana. Tanzania tunatatizo la professionalism na ndio kilio cha wa wekezaji. Nenda kwenye maofisi ya serikali huko ndio balaa. Watu hawapewi nafasi kwa merits labda sasa tuamue wafanyakazi wote wa serikali watakuwa recruited na private agency. Maana hata maafisa uajiri nao hawajiwezi.
 
Ukiwaona wanavyojiumauma katika nchi nyingine pia utatamani nchi ipasuke ufiche aibu ta utaifa wako. Kwa kweli wanaudhi. Hawawezi kunyosha maneno katika lugha ya kiingereza. "Ee ee, you know, ee you know" ziko nyiiiiingiii. Mpaka amalize sentesi jua limeisha zama!! Hivi hamuoni aibu kujiumauma? Aaah mnaudhi sana nyie. Aliyewachagua na ninyi ni wale wale tu... shame on you
 
umuhimu wa kujua kingereza upo, na serikali yetu inawanyima wananchi wake hilo ndi maana hata walipoleta ile rasimu ya katiba walijua hapo watumie lugha ambayo wamewanyima watu wao kuijua, ili hata haki zao wanyang'anywe,.....
Ushauri wa bure kwa sirikali:

waende British council waombe mbinu za kuwafundisha wanafunzi kingereza then wapeleke mashuleni, nachukia kuona hata mhitimu wa chuo anapoongea kingereza cha kukariri, wanawapa wakenya, uganda advantage za kuajiriwa hapa kwetu na kuwa director kwa sifa moja tu ya kuongea kingereza vizuri!

maungana na alieleta srid, lini ccm itang'oka madarakani, tuungane tufanye mabadiliko
 
"soft tongue" at who's dime? Au ndiyo ile "pesa zetu za Walipa Kodi"? Hizi ni fikra za kishamba zilizopitwa na wakati. Mtoa maada naye ni mshamba fulani tu. Kutembelea tembelea Balozi bila sababu za msingi wakati watu wana kazi zao, halafu baadaye unakuja kuwakandia humu.

My concern si lugha wala mtu kwenda ubalozini bila appointment, nimeguswa na hoja kuwa hawana ukarimu na kuwa wakimuona mu-tz wananuna. Issue ya south Africa (pretoria) imekuwa discussed several time na issue imekuwa kwamba kuna wa Tz wengi wako SA hawana ajira hivyo huenda embassy marakwamara kuomba msaada lakini hii haipaswi kumfanya diplomat kuwa na lugha chafu.
 
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.

Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.

Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?

Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?

una wivu, tena mshukuru Mungu Watz wenzio wanafanya kazi huko, usiwe na mawazo duni na yasiohitaji maendeleo, by the way, what is English?
 
Well! is it dollar, euro, yen or petrolium? Does it means in Britain everyone is employed?

Nafikiri wewe na huyo mwenzako uliyemnukuu hamjanielewa nilichokuwa nimeintend kiwafikie. Endeleeni na uelewa wenu mdogo.Nafikiri kama ni gari mmelidandia kwa mbele. Na kwa maana hiyo asiyejua maana haambiwi maana badala yake huachwa na umbumbumbu wake.
 
Simlaumu huyo bwana. Hata pale DIA airport ukishuka pale na ukijifanya hujui kiswahili unapiga kimombo tu jamaa wa customs hawakusumbui tena wanakuogopa, lakini ukianza kiswahili tu basi shida tupu lazima uwakatie kitu kidogo

tehetehetehe kwa hiyo unakwepa kodi kwa kutumai udhaifu wa wa Tanzania kutokujua lugha ya kiingereza kuwa wataogopa kukubana na maswal lol!i:pound::biggrin1:

Ila kwa upande mwingine ni kweli Lugha za kigeni zinatugharimu sana na pengine maslahi yetu ya nchi yananyonywa kwa kutokujua lugha tunababaishababaisha tu. mfano kusainishwa mikataba mibovu inayoligharimu Taifa mabilioni ya fedha za walipa kodi. bora hiyo Mikataba ingekuwa ni ya Lugha ya kiingereza na pia na tafsiri kwa lugha ya Kiswahili kama baadhi ya nchi zingine ambazo hazitumii kiingereza zinavyofanya. kItu chochote ambacho kitakuwa kwa Lugha ya kigeni lazima pia kinatafsiri kwa lugha ya Taifa kwa faida ya wananchi wake.
 
una wivu, tena mshukuru Mungu Watz wenzio wanafanya kazi huko, usiwe na mawazo duni na yasiohitaji maendeleo, by the way, what is English?

narudia usemi wangu pale juu,kama ccm ikiweza kutolewa madarakani jambo la kwanza liwe kuangalia upya balozi zetu nje.nani yuko pale anafanya nini na alipelekwa na nani na je alistahili kutuwakilisha pale??hata kama ni karani!!!
 
Back
Top Bottom