rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.
Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.
Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?
Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?
Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.
Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?
Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?