my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Umewah kupga picha za uchi halafu ukamtumia mtu? Mimi najipiga sna picha za hv lakin sijawah kutuma kwa mtu hta sku moja na sidhan km itakuja kutokea kumtumia mtu picha za uchi.
Nishawah kukutana na wanaume wanaomba picha km hzo sijui wanazitumia kwa nn 🤔 au wanaume wengine ktk relatioship wanataka kupiga pcha za uchi pamoja.
Mimi sijawah kuwa na wanaume wa ajabu km hao. Hivi mtu unaanza je kutuma picha za uchi au unaanza je kupga pcha hizo na mwanaume yoyote tu km sio ujinga tuite nn? Wewe umewah kutuma pcha za uchi kwa mtu yoyote?
Nishawah kukutana na wanaume wanaomba picha km hzo sijui wanazitumia kwa nn 🤔 au wanaume wengine ktk relatioship wanataka kupiga pcha za uchi pamoja.
Mimi sijawah kuwa na wanaume wa ajabu km hao. Hivi mtu unaanza je kutuma picha za uchi au unaanza je kupga pcha hizo na mwanaume yoyote tu km sio ujinga tuite nn? Wewe umewah kutuma pcha za uchi kwa mtu yoyote?