Umewahi kumpokonya mtu mpenzi?

Umewahi kumpokonya mtu mpenzi?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,475
Reaction score
3,538
Kuna watu wanafanya kwa makusudi kukomoa wengine, ila wengine inatokea tu na unajikuta hauna jinsi.

Kuna dada kula mtu mtaani alijua ni mpenzi wa jamaa fulani, lakini siku nakutana nae nikamwambia “alipofaidi jamaa panatosha, ni zamu yetu” dada akasema mbona hata siko nae? Eeh nikamwambia basi mimi hii ninafasi yangu. Dada kacheka kaondoka.

Next time tukakutana na nikaona amejaa na yuko serious, kama ni wewe ungefanyaje? Tukaanza gurudumu, penzi halifichiki, watu wakajua, kumbe jamaa ndio alikua anafatilia tu hajakubaliwa.

Bifu likaanza, kuna siku nusu nikatwe panga na yule jamaa, kilichonisaidia, alifaulu akaondoka kwenda shule, nikaachiw utawala, ila tangu pale hatukuwahi kua karibu tena, bifu hadi leo.

Ukiwa handsome, mambo ya kutakiwa na wanawake ni jambo la kawaida sana.
 
Kuna watu wanafanya kwa makusudi kukomoa wengine, ila wengine inatokea tu na unajikuta hauna jinsi.

Kuna dada kula mtu mtaani alijua ni mpenzi wa jamaa fulani, lakini siku nakutana nae nikamwambia “alipofaidi jamaa panatosha, ni zamu yetu” dada akasema mbona hata siko nae? Eeh nikamwambia basi mimi hii ninafasi yangu. Dada kacheka kaondoka.

Next time tukakutana na nikaona amejaa na yuko serious, kama ni wewe ungefanyaje? Tukaanza gurudumu, penzi halifichiki, watu wakajua, kumbe jamaa ndio alikua anafatilia tu hajakubaliwa.

Bifu likaanza, kuna siku nusu nikatwe panga na yule jamaa, kilichonisaidia, alifaulu akaondoka kwenda shule, nikaachiw utawala, ila tangu pale hatukuwahi kua karibu tena, bifu hadi leo.

Ukiwa handsome, mambo ya kutakiwa na wanawake ni jambo la kawaida sana.
Ukikua utaacha.
 
Hiyo kimakonde tunaiita "Survival of the fittest" by Charles Darwin's

Japo kama unaamini katika Karma, jiandae kulipwa nayo hata kama utakuwa Mzee wa miaka 70

Utashangaa Mke wako, wahuni wanamkula na kumuiba jumla jumla
 
Kozi tuliokua tunasoma pisi ilikua moja, kuna dogo aliiwahi, baadae nikamwaga mchele akajaa.

Bahati mbaya dogo alikua mtu wangu sana, ila pisi ilipenda show off na hakua anayaweza hayo
 
Ninaemuoa miezi michache ijayo nilipora kwa mtu bila kujua kama napora.
Nilijua kua ana mtu wake nikala mara tatu af nikamwambia tuache, amtunzie jamaa ake wa mkoani.

Akagoma, akasema we tuendelee tuu. Akashika mimba, mtoto ana miaka 5 now. Acha tuhalalishe tuu.

Kibaya ni kwamba, nilikua nikiona anamuelekeza bwana ake ili awe anamtreat kwa namna flani ambayo ilikua ndo miondoko yangu kwake.
Nikajua kashakolea huyu
 
Nilimuibia jamaa demu wake, Baadae nikagundua jamaa yuko serious sana kuliko mm nikamuachia.

Saiv wanaishi wote na Yule jamaa, Japo bado anaendekeza ufala hajatia mimba mwaka wa 2 huu, ngoja litamkuta jambo sio wanaume wote wana moyo kama wangu

Japo na mm demu wangu waliniibia alipo hamia dodoma kufanya kazi NMB, Nikatulia saiv niko na chimbo lingine nimepora mwana mwingine

Yani hii ni cycle tu
 
Hahaaa!!!!

Kuna mshkaji wangu o-level (boarding) alikuaga na kidemu chake kiko vizuri kweli, kitoto white flan.

Akanifataga na wazo eti anataka kukatest kale kademu kama ni kaaminifu.

Mie bila kusita nikampa ushauri mshkaji wangu tuliambie jamaa fulani lilikua new comer big big hivi(lilikua na kama siku tatu tu pale shule)lijaribu Kumtongoza demu tuone kama atakubali, big bila kusita akakubali assignment.

Ishu tukapanga ikifika jioni tunapoenda kuchukua chakula, big amtongoze demu, halafu aje kutuambia demu alijibu vipi.

Ile kufika mida ya saa nne usiku tunatoka prepo, tunatawanyika kwenda mabwenini, nakula kona namuona big anamnyonya mate demu, dah!!! Fasta nikamuita mshkaji aje kujionea mwenyewe.

Kesho yake jamaa mshkaji wangu akapigwa na kibuti, tena aliandikiwa ujumbe mfupi kwenye toilet paper (hii ilikua dharau ya hali ya juu kuandikiwa sikutaki kwenye toilet paper
 
Kuna watu wanafanya kwa makusudi kukomoa wengine, ila wengine inatokea tu na unajikuta hauna jinsi.

Kuna dada kula mtu mtaani alijua ni mpenzi wa jamaa fulani, lakini siku nakutana nae nikamwambia “alipofaidi jamaa panatosha, ni zamu yetu” dada akasema mbona hata siko nae? Eeh nikamwambia basi mimi hii ninafasi yangu. Dada kacheka kaondoka.

Next time tukakutana na nikaona amejaa na yuko serious, kama ni wewe ungefanyaje? Tukaanza gurudumu, penzi halifichiki, watu wakajua, kumbe jamaa ndio alikua anafatilia tu hajakubaliwa.

Bifu likaanza, kuna siku nusu nikatwe panga na yule jamaa, kilichonisaidia, alifaulu akaondoka kwenda shule, nikaachiw utawala, ila tangu pale hatukuwahi kua karibu tena, bifu hadi leo.

Ukiwa handsome, mambo ya kutakiwa na wanawake ni jambo la kawaida sana.
Mambo ya kupokonyana mapenzi waachie wanyama. Bindamu hawapokonyani wapenzi. Kwani watu wameisha hadi upwakia uchafu wa mwenzio?
 
Hahaaa!!!!

Kuna mshkaji wangu o-level (boarding) alikuaga na kidemu chake kiko vizuri kweli, kitoto white flan.

Akanifataga na wazo eti anataka kukatest kale kademu kama ni kaaminifu.

Mie bila kusita nikampa ushauri mshkaji wangu tuliambie jamaa fulani lilikua new comer big big hivi(lilikua na kama siku tatu tu pale shule)lijaribu Kumtongoza demu tuone kama atakubali, big bila kusita akakubali assignment.

Ishu tukapanga ikifika jioni tunapoenda kuchukua chakula, big amtongoze demu, halafu aje kutuambia demu alijibu vipi.

Ile kufika mida ya saa nne usiku tunatoka prepo, tunatawanyika kwenda mabwenini, nakula kona namuona big anamnyonya mate demu, dah!!! Fasta nikamuita mshkaji aje kujionea mwenyewe.

Kesho yake jamaa mshkaji wangu akapigwa na kibuti, tena aliandikiwa ujumbe mfupi kwenye toilet paper (hii ilikua dharau ya hali ya juu kuandikiwa sikutaki kwenye toilet paper
Huyo big alimloga nn imekuwaje kirahisi hivyo!
 
Back
Top Bottom