Umewahi kukutana na Hali kama hii

Umewahi kukutana na Hali kama hii

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
364
Reaction score
735
Kuna Ile umemtembelea mgonjwa halafu baada ya muda kidogo anakwambia nifatie maji ya kunywa

Ile unatoka tu kurudi unakuta mtu hauko nae Tena

Je umewahi kukutana na Hali ya namna hiyo ni machungu kiasi gan ulipitia

Na je ulichukua hatua gani
FB_IMG_1769536371046.jpg
 
Kuna siri kubwa iliyopo kwenye Maji....

Fuatilia Utaona, mtu yeyote aliye kwenye hatari ya kupoteza maisha kitendo Cha kutaka kumpa maji anaweza kuwa mkali na mkakwazana mnoo
 
Kwamba mgonjwa anasingizia hakupewa maji kwa wakati?
Anataka afe mbele ya mtu wa watu kwa kisingizio cha kuomba maji, sasa ili akose kisingizio Inabidi Kila ukienda unaenda na maji
 
Back
Top Bottom