Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Hhhhhhh[emoji23][emoji23]
 
Mimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kiboko
 
Enzi za kupeana madem na jamaa yangu..akiwa na dem mkali bas anakufanyia mpango kwa rafiki yake..bas akanipa connection ya rafiki yake dem wake tukaanza kuchat nae..kuchat kama siku mbili hivi nikawa nimeshamuingiza kwenye line tukawa imebaki kwenda kuonana tu jambo liishe..skuio nimeenda kumuona tumeachana nikamwambia jamaa yangu akasema vipi umemuonaje..kumbe na dem akawa ametuma sms zile za nimefurahi tumeonana na kujielezea furaha yake baada ya kuonana na mm live..nikiwa najua namjibu jamaa yangu kumbe naandika kwenye page ya convo ya yule dem..nikaandika hivi..Dem pini ila sio kiviile,ila kwa kutom*ba na kuacha fresh tu anafaa,kwani naoa? Natuma kumbe nimetuma kwa dem aisee,..skuio ndo ikawa mwanzo na mwisho wa kuonana na yule dem..alinitumia tu sms nashkuru kwa kumpa taarifa aliekupa namba yangu [emoji38][emoji38]..kwamba mi ni wa kutom*bwa na kuachwa..nikabadilisha na line tangu skuio [emoji23][emoji23][emoji23] sitaki nikutane nae tena ktk maisha yetu maana ni aibu kubwa sijawahigi kupata
 
Mimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
Hahaaaaa
 
Back
Top Bottom