Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,295
Ilikuwaje mdau?Bro we acha tu!
Nashukuru tuliumbiwa kusahau, sitaki hata nikumbuke!
Ilikuwaje mdau?Bro we acha tu!
Nashukuru tuliumbiwa kusahau, sitaki hata nikumbuke!
😂😂 Alikuwa msukuma wa wapi Huyo..?Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Picha likaungua mazima sio mkuu!Umenikumbusha kitambo sana... nlipataga mtoto flan... sasa akawa anaulizia sana familia yangu.. akataka kumjua dada angu... nikaona sio kesi... kuna dem mwingine mshkaj wangu nikampanga...
Tatizo likaja kwe kutuma sms... nikiwa nampanga uyu mshkaj wangu ile msg nikajisahau nikamtumie yule manz.... daah... nlitamani kuidaka asee..
Sasa shida ilikuwa nini mpk atuwekee mbunye as a profile photo..?😂Hakuwa msukuma kaka[emoji23]
HahahahHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Kilichotokea yule manz alishanielewa nikabadili gia angani... hakuzingua kiivo akakaa sawa elekea kibla[emoji23][emoji23]Picha likaungua mazima sio mkuu!
Duuh!!! Mimi ilikuwa tofauti kidogo na .message, Mimi nilipiga simu kwa wife nikiwa na mchepuko kwenye gari pakiwa pametulia tena nimeshagonga kimoko, sasa balaa likaja nikajua nimekata simu kumbe bado nimepata aisee Nilikuwa nafunguka mbaya kumbe wife anarecodi yote.
Niliporudi home nilikoma, ila Nilikuwa mbali balaa.
Yaani tukio kama langu huwa nikikumbuka najisikia vibaya mnoDuuh!!! Mimi ilikuwa tofauti kidogo na .message, Mimi nilipiga simu kwa wife nikiwa na mchepuko kwenye gari pakiwa pametulia tena nimeshagonga kimoko, sasa balaa likaja nikajua nimekata simu kumbe bado nimepata aisee Nilikuwa nafunguka mbaya kumbe wife anarecodi yote.
Niliporudi home nilikoma, ila Nilikuwa mbali balaa.
HatareeHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Afu ikawaje mkuuMimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
Afu ikawaje mkuuMimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
shetani bana,anakuchochea utume halafu anamchochea mtumiwaji achukieMimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
Ulipaswa kujieleza wake na kuomba msamaha, la sivyo atadhani ulimtumia yeye kumwoshesha unamhusudu japo ni mamam yako mdogo. Angalia usikute siku moja na yeye anakutumia kukuonyesha greenlight!Wasiwasi wangu mkubwa sana ilikua ni kwamba yule maza atakuja kukisanua kwa wife. Niliishi kwa hofu sana mwanzoni ila ni zaidi ya miaka mitatu sasa sijasikia chochote. Mungu ambariki sana huyu mama.