Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

mgonga

Senior Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
174
Reaction score
563
Ni juzi hapa nimetoka mizunguko yangu kama kawaida nikawa nachart chart na mtoto mzuri ili angalau aje jioni hiyo tupashe kidogo,basi wakati huo huo ikaingia sms ya mtumishi mmoja wa Mungu kanisalimu nami nikamjibu vizuri tu,sasa kumbe nimemtumia ile sms ya binti yeye,na ilikuwa mbayaa mno imejaa matusi!!walah nilitoka mpaka nje nijaribu kama ntaweza kuizuia lakini wapiiii!!na yeye hajanitafuta mpaka leo,na vile ninavyojulikana ni mtakatifu,sitaki hata kuonana nae!

Kisa kingine,hiyo nilikuwa nchart na jamaa yangu tunafanya kazi pamoja,sasa tulikuwa tunachart ishu za kazini tukimpaka boss wetu ambae ni mwanamke!basi bhana bila kutegemea shetani nae sijui huwa hana kazi za kufanya[emoji22]si nikajisahau kwenye kureply si nikaisend kwa boss badala ya kuituma kwa jamaa!!siwez kusahau siku ile yaani njaa na tumbo la kuhara vilinikamata kwa mpigo!!japo yaliisha ila du!sitaki kumbuka!!
Vipi wewe ilikuwaje?
 
Ni juzi hapa nimetoka mizunguko yangu kama kawaida nikawa nachart chart na mtoto mzuri ili angalau aje jioni hiyo tupashe kidogo,basi wakati huo huo ikaingia sms ya mtumishi mmoja wa Mungu kanisalimu nami nikamjibu vizuri tu,sasa kumbe nimemtumia ile sms ya binti yeye,na ilikuwa mbayaa mno imejaa matusi!!walah nilitoka mpaka nje nijaribu kama ntaweza kuizuia lakini wapiiii!!na yeye hajanitafuta mpaka leo,na vile ninavyojulikana ni mtakatifu,sitaki hata kuonana nae!

Kisa kingine,hiyo nilikuwa nchart na jamaa yangu tunafanya kazi pamoja,sasa tulikuwa tunachart ishu za kazini tukimpaka boss wetu ambae ni mwanamke!basi bhana bila kutegemea shetani nae sijui huwa hana kazi za kufanya[emoji22]si nikajisahau kwenye kureply si nikaisend kwa boss badala ya kuituma kwa jamaa!!siwez kusahau siku ile yaani njaa na tumbo la kuhara vilinikamata kwa mpigo!!japo yaliisha ila du!sitaki kumbuka!!
Vipi wewe ilikuwaje?
Mimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
 
[emoji23][emoji23]
Mimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
Hapo ndo balaa!unakuta umefuta kwako tu,kule yeye anazo!du!aibu ya mwaka!
 
Mimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
 
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani hapo ni sawa na wewe uwe uchi halafu unafumba macho ili watu wasikuone
 
Iyo uwa ina nikuta sana ..na tabia ya kujibia sms juu ya notification sasa ziki pangana apo juu una jikuta ume reply ya mwingine .kushtuka mda usha enda mwisho naishia kubembeleza tu siku ina pita
 
Iyo uwa ina nikuta sana ..na tabia ya kujibia sms juu ya notification sasa ziki pangana apo juu una jikuta ume reply ta mwingine .kushtuka mda usha enda mwisho naishia kubembeleza tu siku ina pita
Hizi simu ni balaa!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani hapo ni sawa na wewe uwe uchi halafu unafumba macho ili watu wasikuone
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Wewe jamaa umeua hatari[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom