Umewahi kujiuliza hivi, nampenda mpenzi wangu au nakimbia upweke nilio nao?

Vi rendra

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
3,267
5,599
Hello, it's me again

Ndugu zangu kuna jambo naliona sana huku duniani kuhusu mahusiano ya kimapenzi wa ke/me tunaojihisi tunawapenda sana! Mahusiano mengi sikuhizi hayana mvuto/hayafiki mbali kwakua ukweli ni kwamba tunaukimbia upweke /woga wa kuwa pekeyako bila mpenzi wa kukuamsha na "Good morning my love" Na "Pole na kazi" text nk

Tofauti kati na upendo na kukimbia upweke ni ndogo sana, pengine kuna watu hawafahamu kabisa kwa jinsi zinavyoshabihiana ( upendo & woga wa upweke)
Ukijiona : 1. Unajihisi unalazimisha mapenzi /kuwa na mtu fulani, unalazimisha akutendee yale ambayo mpenzi hutenda bila shuruti ( kukujali kwa kihisia)

2. Hata akitenda vibaya unatafuta sababu ya kuhalalisha matendo hayo, kwa mfano anaweza kutokupigia simu kutwa siku2 na hajibu meseji utasema tu kwakua hayuko online atakua busy na kazi.

3. Hata asipotaka amani, unafosi amani, ikitokea kutoelewana wewe ndio unafosi muelewane ili uwe na amani kwasababu amani yako inaletwa na yeye!

4. Unaficha hisia zako kwa ajili yake, ili uwe yule ambae unahisi anamtaka , unaficha kama umekasirika kwakua akijua hilo pengine atakuona sio muelewa, Unataka akuone msikivu utajikuta unaacha hobby zako kwa ajili yake

5. Unahisi kama yeye ndio kwa ajili yako, ukimpoteza hutapata mwingine, kwakua unaogopa upweke ambao umeletwa na dhoruba za hapa na pale za mahusiano yako yaliyopita unahisi kama huyo mtu kajitolea kuokoa jahazi kwahiyo anastahili kupewa-caring ya juu sana maana ameokoa jahazi lililokua likizama.

zipo dalili nyingi zaidi, ukiziona hizo chache basi ndugu yangu humpendi mtoto wa mama mkwe bali unakimbia upweke ulionao!! Cha kufanya ni kuelekeza nguvu kumuona therapist sio kushupalia watu wa wenyewe!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello, it's me again

Ndugu zangu kuna jambo naliona sana huku duniani kuhusu mahusiano ya kimapenzi wa ke/me tunaojihisi tunawapenda sana! Mahusiano mengi sikuhizi hayana mvuto/hayafiki mbali kwakua ukweli ni kwamba tunaukimbia upweke /woga wa kuwa pekeyako bila mpenzi wa kukuamsha na "Good morning my love" Na "Pole na kazi" text nk

Tofauti kati na upendo na kukimbia upweke ni ndogo sana, pengine kuna watu hawafahamu kabisa kwa jinsi zinavyoshabihiana ( upendo & woga wa upweke)
Ukijiona : 1. Unajihisi unalazimisha mapenzi /kuwa na mtu fulani, unalazimisha akutendee yale ambayo mpenzi hutenda bila shuruti ( kukujali kwa kihisia)

2. Hata akitenda vibaya unatafuta sababu ya kuhalalisha matendo hayo, kwa mfano anaweza kutokupigia simu kutwa siku2 na hajibu meseji utasema tu kwakua hayuko online atakua busy na kazi.

3. Hata asipotaka amani, unafosi amani, ikitokea kutoelewana wewe ndio unafosi muelewane ili uwe na amani kwasababu amani yako inaletwa na yeye!

4. Unaficha hisia zako kwa ajili yake, ili uwe yule ambae unahisi anamtaka , unaficha kama umekasirika kwakua akijua hilo pengine atakuona sio muelewa, Unataka akuone msikivu utajikuta unaacha hobby zako kwa ajili yake

5. Unahisi kama yeye ndio kwa ajili yako, ukimpoteza hutapata mwingine, kwakua unaogopa upweke ambao umeletwa na dhoruba za hapa na pale za mahusiano yako yaliyopita unahisi kama huyo mtu kajitolea kuokoa jahazi kwahiyo anastahili kupewa-caring ya juu sana maana ameokoa jahazi lililokua likizama.

zipo dalili nyingi zaidi, ukiziona hizo chache basi ndugu yangu humpendi mtoto wa mama mkwe bali unakimbia upweke ulionao!! Cha kufanya ni kuelekeza nguvu kumuona therapist sio kushupalia watu wa wenyewe!


Sent using Jamii Forums mobile app
uyu nilie nae mm naona kama ananichora tu
 
Hello, it's me again

Ndugu zangu kuna jambo naliona sana huku duniani kuhusu mahusiano ya kimapenzi wa ke/me tunaojihisi tunawapenda sana! Mahusiano mengi sikuhizi hayana mvuto/hayafiki mbali kwakua ukweli ni kwamba tunaukimbia upweke /woga wa kuwa pekeyako bila mpenzi wa kukuamsha na "Good morning my love" Na "Pole na kazi" text nk

Tofauti kati na upendo na kukimbia upweke ni ndogo sana, pengine kuna watu hawafahamu kabisa kwa jinsi zinavyoshabihiana ( upendo & woga wa upweke)
Ukijiona : 1. Unajihisi unalazimisha mapenzi /kuwa na mtu fulani, unalazimisha akutendee yale ambayo mpenzi hutenda bila shuruti ( kukujali kwa kihisia)

2. Hata akitenda vibaya unatafuta sababu ya kuhalalisha matendo hayo, kwa mfano anaweza kutokupigia simu kutwa siku2 na hajibu meseji utasema tu kwakua hayuko online atakua busy na kazi.

3. Hata asipotaka amani, unafosi amani, ikitokea kutoelewana wewe ndio unafosi muelewane ili uwe na amani kwasababu amani yako inaletwa na yeye!

4. Unaficha hisia zako kwa ajili yake, ili uwe yule ambae unahisi anamtaka , unaficha kama umekasirika kwakua akijua hilo pengine atakuona sio muelewa, Unataka akuone msikivu utajikuta unaacha hobby zako kwa ajili yake

5. Unahisi kama yeye ndio kwa ajili yako, ukimpoteza hutapata mwingine, kwakua unaogopa upweke ambao umeletwa na dhoruba za hapa na pale za mahusiano yako yaliyopita unahisi kama huyo mtu kajitolea kuokoa jahazi kwahiyo anastahili kupewa-caring ya juu sana maana ameokoa jahazi lililokua likizama.

zipo dalili nyingi zaidi, ukiziona hizo chache basi ndugu yangu humpendi mtoto wa mama mkwe bali unakimbia upweke ulionao!! Cha kufanya ni kuelekeza nguvu kumuona therapist sio kushupalia watu wa wenyewe!


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa asilimia 80 ya watu wanao oha hua awaoi kwasababu wamewapenda kindaki ndaki wahusika wanao waoa .. wengine Ni kwakuwa wamewakosa wapenzi wa ndoto zao .. wengine upweke .. wengine kuelemewa na kazi .. wengine umri kusogea .. wengine kutamani watoto etc..
lakini siyo kwamba wanakuwa in love Sana na hao watu wanaotaka kuwaowa .. na ndomana .. watu wengi hujikuta njia panda pale wanapokuja kupata ile perfect match yao .. na ndo mwanzo wa michepuko ..unaweza shangaa mtu anamke na watoto wakubwa ila bado anachepuka naku mgharamia mchepuko kwa nguvu zake zote ..nikwakuw mchepuko akujitokeza kipindi kile uyu jamaa ajaoa .. pengine sababu zakiuchumi au standards za mtu binafsi alizo jiwekea .. kwamfano Mimi Kuna dem niliona kabisa ndio perfect match yangu .. nilivyo onesha jitiada zakumtaka yule dem akasema me siyo type yake nikipindi nilikuw na hustle kitaa Sasa uyu akinikuta saiz ambapo kidogo Niko stable financially ni lazima ajae .. na hayo ndo Maisha Alisi .. tunao wataka atuwapati kwaiyo tunaoa tunao wapata ..
 
Kwa wale tunaopenda, na kila kupenda tunapenda kwa dhati, hizi nyakati tufiche upendo wetu katika gamba kama kobe afichavyo kichwa chake gambani maana huko nje pameota miba...
 
Ni kweli
Ni muhimu sana mtu kujifakari katika hili, maafa ukiingia katika mahusiano/ndoa kwa sababu ya kuukimbia upweke, basi utakuwa mtumwa wa mwenzi wako.
 
Back
Top Bottom