Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 488
- 741
- Thread starter
- #21
Iko waziUna tegemea boom kuishi na mwanamke..sizani kama uta weza kuendelea nae soon.na sizani kama kuna maendeleo utafanya
Iko waziUna tegemea boom kuishi na mwanamke..sizani kama uta weza kuendelea nae soon.na sizani kama kuna maendeleo utafanya
Itakula kwako soonMimi naishi nae mkuu....nmeanza kulionea huruma boom langu kumhudumia pia...ijapo ananipenda
Wenzangu mnawezaje kufikisha miaka mingi hivyo na wapenzi wenu au Kuna uchawi huwa mnautimia 😁😁Aijawa official kwamba ni mke wangu but goal etu ni hiyo tuna 4yrs now....ila tumeish pa1 ka miez mi 2
😁😁😁Anakupenda au anapenda boom ili limuweke na kumpitisha kwenye shida
Acha upumbavu wewe boom ulipewa kujikimu sio kugawa hiyo hela ipo calculated kwa mtu mmoja tuuMimi naishi nae mkuu....nmeanza kulionea huruma boom langu kumhudumia pia...ijapo ananipenda
Hahaha hahaha hahaha asante babaWee jamaa ni lazima utakuwa unaishi na mwanamke mfupi
Dalili za ujuaji umeshazianza mapema kabisaMtu mjuaji ana sifa zipi? Anajua vitu vingi kukuzidi ama? Why unasema ni mjuaji?
Yamekua hayo tena mkuu😀😀mbona mi hata sijui vitu vingi, huo ujuaji umenidefine vipi 🤭Dalili za ujuaji umeshazianza mapema kabisa
Aijawa official kwamba ni mke wangu but goal etu ni hiyo tuna 4yrs now....ila tumeish pa1 ka miez mi 2
Aina ya maswali uliouliza yamekaa kiujuaji juaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yamekua hayo tena mkuu[emoji3][emoji3]mbona mi hata sijui vitu vingi, huo ujuaji umenidefine vipi [emoji2960]
Dogo fala Sana hela yako ungeifanyia cha maana boom ni la mtu mmoja we unalisha mwanamke ambae mki graduate na mapenz kushneyiiMimi naishi nae mkuu....nmeanza kulionea huruma boom langu kumhudumia pia...ijapo ananipenda