Du! kazi ninayo hahahaHahaha ningekuja ila siku hizi hayo siyo mambo yangu tena
Hahaha ujue siku zote nakuvutia picha we jamaa utakuwa mtu wa namna gani!?Nakushauri usiwe mvivu kukimbia ukiona unga unazidi maji. Halafu Namanga pale sehemu rahisi kimbilia kituo cha Oysterbay
Kama ulijua vile jamaa tumekubaliana tukutane pale posta Namanga, nikila makonde mawili matatu mazito nazama ndani ya posta kama hana mbio nakula riadha mpk kituo cha Oysterbay hahahaNakushauri usiwe mvivu kukimbia ukiona unga unazidi maji. Halafu Namanga pale sehemu rahisi kimbilia kituo cha Oysterbay
Yaani ukifika kituoni shusha kilio kikubwa halafu kila unapoguswa anza kuliaKama ulijua vile jamaa tumekubaliana tukutane pale posta Namanga, nikila makonde mawili matatu mazito nazama ndani ya posta kama hana mbio nakula riadha mpk kituo cha Oysterbay hahaha
Hahaha na nilivo la lisauti libaya alafu kubwa na machozi ya kumiminika ni hatari lzm waite ambulance wallah!!! HahahaYaani ukifika kituoni shusha kilio kikubwa halafu kila unapoguswa anza kulia
Ni sahihi kabisa asee!! Nimeweka kispanish!Hivi magnifico yako inamaanisha magnificent?
Hahahaha......Yaani ukifika kituoni shusha kilio kikubwa halafu kila unapoguswa anza kulia