FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Kwanza nikifikilia tu Kitendo cha kumchapa mwili wangu unaogopa..
1.Pale napoona amekosea nitamwita muda huo na kumwambia kosa lake na kumwambia asirudie
Na atajua kabisa mama amechukia leo
2.Kama alivyosema Superman watoto wanavyopenda cartoon sitamruhusu kuangalia na atajua kabisa hapa leo hali si shwari .
Nk Nk
1.Pale napoona amekosea nitamwita muda huo na kumwambia kosa lake na kumwambia asirudie
Na atajua kabisa mama amechukia leo
2.Kama alivyosema Superman watoto wanavyopenda cartoon sitamruhusu kuangalia na atajua kabisa hapa leo hali si shwari .
Nk Nk