Umevaaje

hahahaha! Jumanne ya leo nzuri. miss chagga kakasirika kuambiwa I love you wkt mwenyewe alikuwa anataka waongee mambo ya uchumi, Price kakasirika kuulizwa amevaaje.

Nyie wanaume mjifunze jinsi ya kuongea na warembo
they killing ma mind to hear the same words all the time its real real boaring
 
Hahahaaa mkuu umenichekesha sana....maswali ya section C ndo yapi hayo??

Yale maswali ya kujibu kurasa 4 examine, discuss, describe

With vivid examples...
Hayo.hayooooooo

Utaskia mara umelala mlalo gani ....

Ya rangi gani...
 
afadhali mama wanachosha mwiingine kusifia mwanzo mwisho na i love u its real boaring aisee
 
Right on sister!!!! hahahaha kumbe hili ni janga la kitaifa.......
 
afadhali mama wanachosha mwiingine kusifia mwanzo mwisho na i love u its real boaring aisee
Haaaa haaaaaa haaaaaaa.... kila ukiongea nae anakwambia tu miss chagga i love u, ilove u sooo much, i love u veeeery much..... kha!
 
Last edited by a moderator:
pole sana,kwani ulikuwa umevaaje ?maana umekuwa mkali sana
 
Haaaa haaaaaa haaaaaaa.... kila ukiongea nae anakwambia tu miss chagga i love u, ilove u sooo much, i love u veeeery much..... kha!

nakukuuliza hivi ulivyo mrembo si unatongozwa sana? loh mi mwanamke kutongozwa ndo inafaa sasa sijui antaka atongozwe yeye inaboa kwa kweli...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…