Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Oohh hallelujah,
Karibuni sana katika madhabahu teule ya bwana, mchote mibaraka kama yote, na Mungu atawabariki sana ....
Natoa huduma J4 na ijumaa jioni pia,
Karibuni sana
Tutakaribia baba Ahsante sana!!πŸ™
Nitakuja nao wote hawa watu wa mataifa waliogoma kumkiri Yesu km ni Bwana na mwokozi wao!
Joannah Antonnia Missy Gf cocastic na mama mchungaji Tayana-wog jpili ijayo wote ibadani kupata upako na uponyaji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Oohh!!!
huyu anafanya nini tena kwenye bustani Na Bwana wa Majeshi atawatakasa kabisa na kuwavisha utu mpya, kiroho na kimwili, na watakua weupe kama pamba wakifurahia vema kibali na zawadi ya uhai, afya njema, maisha mazuri na matamu alizowajaali Mungu mwenyewe...
 
Siwezi ibiwa Sadaka zangu Mimi!ushindwe na huyo nabii wako kisheti!🀣🀣🀣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…