ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,727
- 72,188
Una mambo ya kizee😂 😂 😂
Mimi sio mtu wa Kigoma ujue
Una mambo ya kizee😂 😂 😂
Mimi sio mtu wa Kigoma ujue
😂 😂 😂Ndo nn hiyo
Dah! Kwahiyo umekunja suruali halafu umevaa na kiatu cha kaziniView attachment 3043117
Guess my age 🤣🤣🤣🤣
Kitambi sio kibaya tajiriTajirii! 😂 Aya bhana kitambi ninacho mwenyewe
Kazi yangu ni humu humu JF 😂😂😂Dah! Kwahiyo umekunja suruali halafu umevaa na kiatu cha kazini
Ulikua unaenda wapi
Kwamba wewe ni mod!Kazi yangu ni humu humu JF 😂😂😂
Kitambo sana 😂 😂 😂Kwamba wewe ni mod!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu nilijizuia ile siku kuropokwa, nlikua kwenye good mood, sikutaka sharii hata.
Kweli Manyanza anazingua na viatu vyake 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dhambii hizi uduguu.
Asante kwa kunitishami nimevaa ngozi
Mods huwa hawajisemiKitambo sana 😂 😂 😂
Ngoja nitafute picha nilovaa t-shirt la JF
Wifi yangu wa uchungu kabisaa 🥰🥰🥰🤣🤣🤣Mm ndo wifiyako og
Mbona kumrusha roho mwenzio my Wii😀😀
Wew utaki niende south Africa 😀
rafiki.Ohh tatizo wengine sio washinda jf muda wote ndiomana tunakosa mafoto 🤣🤣🤣
Haya nimefika tupia sasa tuone
Tupia viatu vya kueleweka bana unaniangusha 😹😹😹😂 😂 😂 😂
Kwahiyo unataka uridhishwe na viatu vingine vizuri?
Manyanza viatu bado kabisaa 😹😹
Punguza ushangingirafiki.
Manyanza viatu bado kabisaa 😹😹
Sema umeamua kunirusha roho hilo pozi 😜
Em pandisha shirt juu 😍😍😍