cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Sijapost kityuu.Umepost nini?
Nimeingiwa ganzi kidogo![]()





Mbona muoga sana weyeee!! Unaogopaaa?
Sijapost kityuu.Umepost nini?
Nimeingiwa ganzi kidogo![]()





Pale NEKTA nimepigwa ganzi. Natafuta wese la upako hapa nipate Kilainishi cha ganzi 🤣🤣🤣Sijapost kityuu.
Mbona muoga sana weyeee!! Unaogopaaa?
Kwani imekuajee?Pale NEKTA nimepigwa ganzi. Natafuta wese la upako hapa nipate Kilainishi cha ganzi![]()





Wale Wakuda Wajana wamepita tena moningi hii 🤣🤣🤣Kwani imekuajee?
Em kaninong'onezee kulee.
Nilishakuambia jichanganyeee,Wale Wakuda Wajana wamepita tena moningi hii
Full ganzi halafu wale ni wazee wa kudele tu mpaka humu





Bestie ngoja nirudi tu Ghetto nikaendelee na mishe zingine nipo Bamaga hapa napaona ni pale lakini mwili wote ganzi.Nilishakuambia jichanganyeee,
Katavi inakuhusuu, wee huogopiiiiii?
Soseji wapi ,ndizi hizoo 😄😄Naomba hizo sosejii.![]()
Wee jichanganyee, tangu uliposema huo mpango yuko na mzee wa Suti nyeusi, nilijua unataka kuyatimbaaa,Bestie ngoja nirudi tu Ghetto nikaendelee na mishe zingine nipo Bamaga hapa napaona ni pale lakini mwili wote ganzi.




Ndizi hizoo ukataji tu usikuchanganye.Ndizii? Em sema kwelii?![]()
Bora niendelee kula mihogo na Mo eneji tu hayo siyawezi. 😂😂😂Wee jichanganyee, tangu uliposema huo mpango yuko na mzee wa Suti nyeusi, nilijua unataka kuyatimbaaa,
Potezeaa bhanaa, au tukarogeee we unaonajeee??
Duh usinifanyie hivyo coca nichek basi kule , kweli Nina shida naeMbonaa yupo kwa vazi jinginee, humu hatoki mtu tunabadilisha ujio tyuuh.![]()
Ndizi zipo km viboro vya watoto watokao porini kutahiriwa,Ndizi hizoo ukataji tu usikuchanganye.


eBora niendelee kula mihogo na Mo eneji tu hayo siyawezi.![]()



ndo ufanye kutuliaa sasa,Ushampataaa?Duh usinifanyie hivyo coca nichek basi kule , kweli Nina shida nae
HapanaUshampataaa?
Nimejionea mengi 🤣🤣🤣ndo ufanye kutuliaa sasa,