Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
Upewe tuzo 😂😂😂poleee wee
Huku dar wenzenu tunakula mawig ya kuku
Upewe tuzo 😂😂😂poleee wee
Ipo siku nitarudi mazima nyumbani , nishayachoka mahindi ya kuchoma na magimbi mwisho tambi limenitoka halibonyezekiView attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
Nganiwa ndo nn?Nganiwa unawala??,
😋😋😋😍😍 ila hao prawns no 🤣View attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
🤣🤣🤣🤣 Kamati tunaanzia laki 5 kima cha chiniKwa kupenda pesa weyee, utafia na kuzikwa bank.
![]()
View attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi

Upewe tuzo
Huku dar wenzenu tunakula mawig ya kuku



fungashia na miguu na utumbo.Ni Hao,nilijua unawala, nilitaka nikugawe, na ukungu unaula??Nganiwa ndo nn?
Au unasema Mbuwila? Km ndo hivyo sili.
Sao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo 😋😋View attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
Kungu nakulaaa dyadyaa,Ni Hao,nilijua unawala, nilitaka nikugawe, na ukungu unaula??



Tena hao nakula na ugali au ndizi mzuzu weee tamuuu😋😋😋😍😍 ila hao prawns no 🤣
NapendaaSao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo 😋😋
Si ndo hapo 😂😂😂Amebakiza uchebe tu 😅
Pale stesheni stand yupo ankali mmoja aanawekaga hz seafood yaani nafanyaga kupark kabisa Nile kwanza ndyo niendelee na safariSao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo 😋😋
Kuna mtu aliwapika na mchicha akatia na nazi wee nilimwambia asante 😂😂😂Tena hao nakula na ugali au ndizi mzuzu weee tamuuu
Nilijua tuKungu nakulaaa dyadyaa,
Tamuu balaaa



,nilitaka nishangae usiwale

,Pishi zuri sana hili niliwahi kula kwa buheti nikawa napika hivyo na mie geto watamuuuKuna mtu aliwapika na mchicha akatia na nazi wee nilimwambia asante 😂😂😂