Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Attachments

  • IMG_20231227_180858_538.jpg
    IMG_20231227_180858_538.jpg
    543.6 KB · Views: 3
  • IMG_20231227_181009_699.jpg
    IMG_20231227_181009_699.jpg
    684.8 KB · Views: 4
Achana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Kabisa Ankoli

Hivi si mwaka mpya wasabato huwa mnasherehekea eeeh?
Wanunulie akina Uncle keki ya new year?
 
Thanksgiving ni muhimu, ni lazima kushukuru. Utaandaa keki ya bei ya chini kuliko zote🤣🤣🤣
Uzuri wako Ankoli hunaga mbambamba.

Familia imepata baba mwema sana...sema nadhani sitakuwepo mjini kwahiyo mwwee oda ya Ankol inanipita.
 
Achana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Uko serious hii dis ni mm umejibu!? Sema tuelewane old man
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom