Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

If yu tek dis too serious
Den yu really need some church

Shaggy sijui alimaanishaje..
Cc raraa reree
reading-stories-smiley-emoticon.gif
 
Nakumbuka,Nikiahidi kumuombea mtu linakuwa deni kwangu...ni akheri nivunje ratiba za maombi yangu,ila si Yale niliyoahidi kumuombea mtu..yatapiga kelele sana ndani yangu.

I promised you that you'll be in my prayers and I did so and still doing.
Sikukusahau,,tena nilitamka jina hivyohivyo "Binti Kiziwi".. Nikamwambia Mungu wewe unamjua kwa jina lake halisi na unajua anayoyapitia,pia unajua haja za moyo wake.

Hakuna cha hips 🤣🤣🤣
Ni nguo tu Kuna namna huwa inakaa hivyo
Nikibadili nguo utaona.
Mi ndo naanza January
40 days🙌🙌

This time nimepumzika kwa muda!
Tar 10 tuko na baba Arusha hapo km kawa
 
usiwe mtuwakujali sana utaumia roho bure.
kua kama mwenzako mahonda alimnanga x wake kuwa anagono nakuwananga wakewenza akina dep na linie kuwa wameambukizwa gono lakini sasa hivi amerejea kwahuyohuyo alietuaminisha anagono na hajali chochote wee ninani ujali kitukidogo hicho?

muige mahonda yeyé ni mbwaimbwaituu ugaigai haelewi atakaaje bushi wakati x wa mjini yupo😁amefosi kingi🤣🤣🤣🤣🤣

alichagua tall and dark handsome man jeda hela hana🤣🤣halafu kunakiandunje tuuu kinawachanganya namahela mahonda akaona isiwe kesi kwani kumsaliti mjeda sh ngapi😁
kwahiyo usijali sana mkuu hutafanikiwa kwenyemambo yako kamawenzio
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Nimecheka jmn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom