Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,189
- 55,341
Bibi hayawani huyoππ’Jmn
Ss kwann atuletee hizo picha hapq
Uzuri mimi kama mtu amewahiwa nakaa pembeni, ugomvi na warembo hawa mi naweza basi? Mi nishazeeka ππYani kaka nakuona kabisa unavyonitafutia ugomvi na wifi Ms eyes na huku binti kiziwi naye wa moto anatufaa basi ngachoka ππππ
Nitakuwa zimwi wa baadae kupasha kiporo[emoji23][emoji23] Boss hanuniwi[emoji16][emoji16]Sisikii la Azana wala nn[emoji1787][emoji1787]
DuhBibi yake Lamomy wee unamuona network inasoma?
π€£π€£π€£π€£πNitakuwa zimwi wa baadae kupasha kiporo[emoji23][emoji23] Boss hanuniwi[emoji16][emoji16]
Asije kuwa tu jux wetu π€£Uzuri mimi kama mtu amewahiwa nakaa pembeni, ugomvi na warembo hawa mi naweza basi? Mi nishazeeka ππ
Afu kuna kibenten namvizia we ngoja aingie kwenye mfumo, nimemuona kwa huu uzi mara moja sijamuona tena π₯Ή
Acha niteseke#ThrowBack View attachment 2846986
Ongeza ongeza
Elimu yako ni kiasi gani bibie? Wewe ni mweupe sana kichwani. Kuwa mweupe kichwani sio tatizo tatizo ni kushindwa kujizuia kujulikana ni mweupe kichwani.Samahani lakini.Mbona na wewe ua, tena la pink! Tupia iko kipink flower bhasi [emoji255]
Asante[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Halafu ukijibiwa uache kukimbilia kwa mods kureport, nudeman unatakiwa kukaza. By the way tafuta uwanja mzuri nikupige punch, hapa tutaharibu uzi wa uncle Mshana, bwege weweAsante[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Aisee!! Hapo mama mchungaji ushaanza kupata upinzani πππ
Wee yupi huyo?! πππUzuri mimi kama mtu amewahiwa nakaa pembeni, ugomvi na warembo hawa mi naweza basi? Mi nishazeeka ππ
Afu kuna kibenten namvizia we ngoja aingie kwenye mfumo, nimemuona kwa huu uzi mara moja sijamuona tena π₯Ή
Kumbe?! π’Hao ni wale madogo wawili wa SUA waliofia kwenye mgogoro wa Israel & Gaza
Mfyuuu!! πππMzee patel aliniambia nitakuwa jambaziπ€£π, baada ya issue ya mwisho nzito kudhamiria kuifanya,nilipewa kichapo nikawa mwekundu na chozi halitoki.
Huwezi kuachwa mdogo wangu,uzuri si hukumpea kwa bibi π€£