Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
😍😍Wooow!!!
Mrembooo.
😍😍Wooow!!!
Mrembooo.
Shughuli yake sio ndogo pamoja na dada yake Savannah.Desperado zinakufanyaje lakini![]()
Nmeshapona 😏m
mimi nataka nikuletee dawa wanazopeana watu wazima vipi nafasi ipo nije...hiyo dawa nikikupa unapona hapo hapo...!
Khaa mpenzi wako hujui alipo.....anhaaa ushapokonywa na nilikwambia kabisa penzi lenu halitoboi chrismass ukabisha ona sasaHata mimi sijamuona muda sana, jana nilitaka kukuuliza pia. Naamini huko aliko yu-mzima maana nimemmiss kama nilivyokumiss🤣🤣🤣
Ulikuwa wivu wako tu huna lolote🫣🫣ila narudi rasmi tuhuishe huba letu💪Khaa mpenzi wako hujui alipo.....anhaaa ushapokonywa na nilikwambia kabisa penzi lenu halitoboi chrismass ukabisha ona sasa
Hivi Eli na wewe ni Commando kama huyu jamaa?Ulikuwa wivu wako tu huna lolote🫣🫣ila narudi rasmi tuhuishe huba letu💪
Uje na hela 🤗🤗🤗Ulikuwa wivu wako tu huna lolote🫣🫣ila narudi rasmi tuhuishe huba letu💪
Sio lazima hela bwana wee, twende taratibu!!Uje na hela 🤗🤗🤗
Basi najua taswira yangu umeijengea kwa huyu mwamba, mie black ujue!!Hivi Eli na wewe ni Commando kama huyu jamaa?
Achana na rangiBasi najua taswira yangu umeijengea kwa huyu mwamba, mie black ujue!!
Twende wapi sasa bila nauliSio lazima hela bwana wee, twende taratibu!!
Nipo tofauti, sina traits za jamaa hata kidogo.Achana na rangi
Yaani zile traits
Namna yupo smart
Basi mimi najuaga upo kama jamaaNipo tofauti, sina traits za jamaa hata kidogo.
Nipe location napita twende!!Twende wapi sasa bila nauli
Nipo hapa sheli ya puma hapaNipe location napita twende!!
Kwanza mie mfupi, sina mwili wa mazoezi, sivai smart...ila nampenda alivyo na uzee wake namfata nyuma taratibu 🤣Basi mimi najuaga upo kama jamaa
Puma ipi sasa, nipe location mama acha kuongea. Umesema life's short🤣Nipo hapa sheli ya puma hapa
We njoo tu kwa hapa utanikutaPuma ipi sasa, nipe location mama acha kuongea. Umesema life's short🤣