Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mimi sio andunje, ila sio mrefu pia. Yaani nikisimama kwenye daladala naona kabisa sio andunje.
Kwa wanaume we mfupi Bwana
Labda kama unajilinganisha na sisi dada zako.


Kwahiyo huwa unajipima kwenye daladala na watoto wa shule?

Mengine yote umetupiga bwana,six pack mwili wa Shwazerneger kabisa
Kuvaa smart sana,mara mojamoja kitozi ni nyuzi zenu arsenyau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaume we mfupi Bwana
Labda kama unajilinganisha na sisi dada zako.


Kwahiyo huwa unajipima kwenye daladala na watoto wa shule?

Mengine yote umetupiga bwana,six pack mwili wa Shwazerneger kabisa
Kuvaa smart sana,mara mojamoja kitozi ni nyuzi zenu arsenyau

Sent using Jamii Forums mobile app
We umeniona wapi hadi useme mie mfupi? Kwa hiyo daladala wanapanda wanafunzi tu sie baba zao tunapanda nini?

Six pack naitoa wapi wakati sifanyi mazoezi, nipo na one big pack hapa sina shida na mtu🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20231215_132106_Google.jpg
    Screenshot_20231215_132106_Google.jpg
    34.6 KB · Views: 9
We umeniona wapi hadi useme mie mfupi? Kwa hiyo daladala wanapanda wanafunzi tu sie baba zao tunapanda nini?

Six pack naitoa wapi wakati sifanyi mazoezi, nipo na one big pack hapa sina shida na mtu🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Vipande vya picha kule selfika
Nikakadiria😂

Daladala tunapanda sisi jobless bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom