Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Jana ulipitwaanza wee
Jana ulipitwaanza wee
Wakati nawe huzioniZipoo![]()
Location bonyokwa 😂😂😂haha anipe location kesho kirukuu tokea ilala kimfate maana ndo nimeingia mida mida mjini
Hapo utapitwaa sana na blessings!Browser siiwezi shouzz, wallah
😁😁😁Tulia kaka utanivuruga! Mi napita kimya kimya naangalia wa kula nae krismasMpaji Mungu msaidie kuangalia ili afanye challenge atupie humu 🤣
Mbna itakua niBday yake hiyo amejipanga atoe connection ya kuzindua mwaka. Sema mkao ataotumia hajauweka wazi



Kwani kashauza tyr mazao? 😜
Hapana nilipita kununua masoseji nikale maghetoni pamoja na pombe Kali kaliiKwan wee ndo muuzaji,![]()
Zangu naziona, ila za wengine sizioni.Wakati nawe huzioni
Sawa kaka nakubali🤣😁😁😁Tulia kaka utanivuruga! Mi napita kimya kimya naangalia wa kula nae krismas
Yaan bas tyuuhHapo utapitwaa sana na blessings!
Hatareee ila bado najiuliza chuma ujasili alitoa wapi wa kupiga deki kwa gigy 😂😂😂😂Noumaaa![]()
Du kumbe jirani yanguLocation bonyokwa 😂😂😂
Weka hata sekunde 10Zangu naziona, ila za wengine sizioni.
Oooh hapo sawaa.Hapana nilipita kununua masoseji nikale maghetoni pamoja na pombe Kali kalii